Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
- Thread starter
- #61
You are very too late. Mwaka wangu wa 11 sasa kwenye ndoa yenye raha, furaha na amani.....nimepata wazo.... sijui nikuoe.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are very too late. Mwaka wangu wa 11 sasa kwenye ndoa yenye raha, furaha na amani.....nimepata wazo.... sijui nikuoe.....
Hawajafundwa kidini na kimila piasijajua kama hawa feminists wa jf watakuelewa, kuna mangangali humu unasoma tu post zake unajua hili femist likiolewa litaenda kuharibu bora libaki kua single mother tu.
Thank youSanamu lako liwekwe Nyerere square kando ya Nyerere
Kwa hiyo hujawahi kuchepuka?Mwenzako aliwahi kuniona
Hata ukikosa takroo, kwetu cc takroo ni bidhaa kwa ajili ya starehe. Mwanaume anayetaka ndoa yake idumu kamwe hawezioa mwenye takroo amiraLabda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.
Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Kuchepuka ni dhambi aisee😓😓Kwa hiyo hujawahi kuchepuka?
I am sorry aunt najuwa umelizungumza hilo jmkwa machungu makubwa sana ila nakukumbusha kwamba pennye nia pananjia mamaangu jaribi zaidi mungu atakufunulia we mtegemee2 yeye pole pia GOD BLESS 👏👏👏👏👏Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.
Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Mmeo anafaidi sana, asilimia kubwa kilichobaki ni kizazi cha feminists na ligi za ajabu.Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako