Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Very true!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi inapelekea vifoSasa mbona hao wanyenyekevu ndo wanateseka na mapenzi/ndoa.?
Jambo limezua jambo, jambo hilo limekuwa ni kashesheKwani kuna nini linaendelea huko?
Tatizo lenu feminist mnapinga kila kitu ndo maana mnazalishwa na kuachwa na hakuna wa kuwaoa.Ndio maana nakwambia inategemea,,,wanawake wangapi wanyenyekevu na watiifu kwa waume zao wanaishia kunyanyaswa Hadi kuletewa wanawake nyumbani?
Kwani kuolewa ndio kufika mbinguni?mkitaka na mbegu zenu tunyimeni kabisa!acha zako hizoTatizo lenu feminist mnapinga kila kitu ndo maana mnazalishwa na kuachwa na hakuna wa kuwaoa.
Kati 100 wanawake wanyenyekevu wataachwa 2. Ila kati ya 100 wanawake wasio wanyenyekevu wataachwa 99.
Hapo mshindi ni nani?
Joannah wewe ni mnyenyekevu?Ndio maana nakwambia inategemea,,,wanawake wangapi wanyenyekevu na watiifu kwa waume zao wanaishia kunyanyaswa Hadi kuletewa wanawake nyumbani?
Sanamu lako liwekwe Nyerere square kando ya NyerereWanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Kwa hiyo nikikuoa nimepata mke mwema?Kabisaaa
sijajua kama hawa feminists wa jf watakuelewa, kuna mangangali humu unasoma tu post zake unajua hili femist likiolewa litaenda kuharibu bora libaki kua single mother tu.Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Mwenzako aliwahi kunionaKwa hiyo nikikuoa nimepata mke mwema?
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Ni ushenzi kama hauna [emoji16]Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.
Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Kama kubehave hivyo kunafunctionUone nn sasa Madam!
.....nimepata wazo.... sijui nikuoe.....Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako