UrbanSaint
Senior Member
- Aug 20, 2020
- 102
- 261
Kwahyo ungependa kushauri Nini?Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.
Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Hapa ndipo wanaume tunapopuyanga!!Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.
Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Ndio maana nakwambia inategemea,,,wanawake wangapi wanyenyekevu na watiifu kwa waume zao wanaishia kunyanyaswa Hadi kuletewa wanawake nyumbani?Hakuna mwanaume asiyemthamkni mwanamke wa aina hyo, labda asiwe sawa kichwani
Havina kanuni, msome mtu wako anataka muishije muishi hivohivo kinachoweza fanya kazi kwako hakiwezi fanya kazi kwa mwingine.Kwahyo ungependa kushauri Nini?
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.
Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Mnakuwaga na akili sana kabla ya ndoa ila mkishaolewa tuu na kupata kile kicheti basi akili zote fyatuuuWanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Ndio maana wanasaidiwa sana na ma housemaid na michepukoSo sad kuwa wengi kiburi, ujuaji ndio vimekuwa their way of life.
Niko kwenye ndoa mwaka wa 11 sasa, sijawahi kujutaMnakuwaga na akili sana kabla ya ndoa ila mkishaolewa tuu na kupata kile kicheti basi akili zote fyatuuu
Sidhani. Kila mwanamke anatamani awe na tabia njema ila tu wako possessed na mapepo ndio maana wanakuwa na tabia za kishetaniNgoja wenyewe wanywe chai kwanza uone watakavyokushukia kama Mwewe...
Hongera. Wape funzo warembo wa kisasa maana wao kiburi na maneno ya shombo hayawaishiNiko kwenye ndoa mwaka wa 11 sasa, sijawahi kujuta
Kwani kuna nini linaendelea huko?Hii comment ijengewe jengo refu sana hapo ikulu, ina ujumbe kwa huyo mwanamama hapo
Mungu awasaidieHongera. Wape funzo warembo wa kisasa maana wao kiburi na maneno ya shombo hayawaishi
Jemima huyu huyu leo mnyenyekevu hahahaaa hongera kwa kuokokaWanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.
Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.
Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.
Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.
Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?
Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Kile cheti huwa kinawapa kiburi sana tena itokee amepata huko nje jamaa linamsugua na anaongwa vijihela ikitokea misunderstanding kidogo tu kati yenu utasikia kama umenichoka niambieMnakuwaga na akili sana kabla ya ndoa ila mkishaolewa tuu na kupata kile kicheti basi akili zote fyatuuu
Nadhani husomi articles zangu, ndio maana hunijuiJemima huyu huyu leo mnyenyekevu hahahaaa hongera kwa kuokoka
Leo umeamka na upako sio kawaida yako 😅Kwani kuna nini linaendelea huko?
Umetupia sana leoNadhani husomi articles zangu, ndio maana hunijui