Mwanamke mnyenyekevu ndiye chaguo bora kwa mwanaume yoyote

Kuna wimbo wa Aaliyah na Treach A Girl Like you nikikukamata sikuachii
 
Hata ukikosa takroo, kwetu cc takroo ni bidhaa kwa ajili ya starehe. Mwanaume anayetaka ndoa yake idumu kamwe hawezioa mwenye takroo amira
 
I am sorry aunt najuwa umelizungumza hilo jmkwa machungu makubwa sana ila nakukumbusha kwamba pennye nia pananjia mamaangu jaribi zaidi mungu atakufunulia we mtegemee2 yeye pole pia GOD BLESS πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Mmeo anafaidi sana, asilimia kubwa kilichobaki ni kizazi cha feminists na ligi za ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…