fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #81
sio sister ni muumini tuKumbe ni sister hawaolewagi hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio sister ni muumini tuKumbe ni sister hawaolewagi hao
30Ana umri gani?
Basi mjulishe saivi tupo kwenye shindano la kumpata awe mtulivu apate Mume bora tangazo limetufikiasio sister ni muumini tu
Angekuwa na 25 kushuka chini ningemchukua, nataka niliyemzidi miaka kadhaa
yuko juu ya hapo,namjua maana alikuwa ni mwanafunzi wanguAngekuwa na 25 kushuka chini ningemchukua, nataka niliyemzidi miaka kadhaa
basi ndio hivyo,umbile lakeDah sijui nipoje ila kiufupi sijawahi vutiwa na wanawake wapole nawaona kama wajinga wajinga tu🤔🤔🤔
sawaBasi mjulishe saivi tupo kwenye shindano la kumpata awe mtulivu apate Mume bora tangazo limetufikia
Cha mhimu hapa lete namba mkuu
Kwa hiyo umeamua kutufokea ama?Niliwahi kufundisha chuo kikuu kimoja hapa Tanzania. Nilikuwa na mwanafunzi mmoja—mpole, mkimya, hana makuu, hanywi pombe, haendi out, ni mtulivu sijapata kuona.
Ni Mkristo, lakini huvaa ushungi kila siku, na darasani alikuwa wastani tu. Alimaliza na alipata kazi mji huohuo aliposomea. Baada ya miaka miwili, nilienda kumtembelea alipopanga. Nilimkuta na sifa zake zilezile.
Niliongea naye sana, na akaniambia kuwa mpaka sasa hajapata mchumba japo anatafuta sana mwenza na anasali kila siku. Nilishangaa, mdada mzuri kama huyo kukosa mume. Kweli, hata mimi roho inaniuma sana.
Kama weweaanze kujitoa out na kuchangamana na watu
kuwafokea? vipi?Kwa hiyo umeamua kutufokea ama?
sawaKama wewe
Oa please mie nimeoa wake 2Uko vema sana kwenye marketing hadi nimetamani kuoa
Nitaoa vipi bila kupata number ya huyo Binti aliyetulia!?Oa please mie nimeoa wake 2