Mwanamke muhimu sana anakubadilisha ndani ya masaa 24

Tukiachana na suala la kuachana kwa muda na mzazi mwenzio, itoshe kusema wewe ni mchafu
 
5.Sio mwaminifu,yaanimchepukaji,,,nadhani hi ndo sababu kuliko zote
 
Kuna mtu apa atakuja atakuambia alimsikiliza mmachame wake akajikuta wamejenga kwa mke huko machame nshara😁😁
Mmarangu wangu,kiwanja kipo hadi leo kiboroloni.
Na hata kishika uchumba nilitoka nacho baru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…