Je sababu zifuatazo zinatosha kumuacha mke?
1: Kiburi
2: kuhama chumba, yani, halo na mume wake chumba wala kitanda kimoja, analala chumba Cha watoto, sababu, hawezi kulala chumbani na mume wake wakati mtoto wake wa miaka 6 analala peke yake
3: Hamsikilizi mume wake
4: Ana Gubu