Mwanamke ni chanzo cha wanaume kufa mapema? Ona utafiti huu wa Afrika Kusini

Mwanamke ni chanzo cha wanaume kufa mapema? Ona utafiti huu wa Afrika Kusini

Sasa mshaoa au nguvu hamna?

I sense misplaced anger and pain🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

20230508_210017.jpg
 
Hivi kuna mwanaume anazuiliwa kuoa? Hata kama kafunga nfoa jana akiamua kesho anaoa.
Ugumu wa maisha ndo unawazuia kuoa
 
Habari wadau!

Ninaomba wataalamu mtusaidie hapa hasa wa sociology, psychology, na wale by experience hivi kwanini

1. Wasomi WENGI wanakufa kwa pressure, BP, sukari , pumu n.k.

Sisi wengine tuna KUFA kwa kuhara, malaria, typhoid, hukosa Choo n.k?

2. Wanaume waliooa mwanamke mmoja wanakufa MAPEMA na umri mdogo kwanini? ONA utafiti hapa Kisha sema neno

Mkhokheli Ndlovu
Occupation; Farmer
Age: 98
Wife: 6
Children: 47
Grandchildren: 86
Cause of death: Old age

Themba Gumede
Occupation: Carpenter
Age: 115
Wife: 11
Children: 56
Grandchildren: 132
Cause of death: Old Age.

Masauso Banda
Occupation: Tailor
Age: 109
Wife: 4
Children: 38
Grandchildren: 73
Cause of death: Old Age

Dr Benson Dube (Phd)
Occupation: Lecturer
Age: 56
Wife: 1
Children: 2
Grandchildren: 0
Cause of death: High Blood Pressure.

Samuel Julius
Occupation: Bank Manager
Age: 53
Wife: 1
Children; 3
Grandchildren; 0
Cause of death; BP, Sugar

I am not saying anything. It is up to you to give your own interpretation....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] [emoji2097][emoji2097][emoji2097]

Nini maoni yako


View attachment 2619945View attachment 2619946
NAONA KUNA ukweli ndani ya huu utafiti
 
Mzee mwinyi ameninong'oneza hapa kuwa siri ya kuishi mda mrefu ni kuoa mke zaid ya mmoja--JPM
 
Back
Top Bottom