Vijana ni kuzagamua tu mengine mbele kwa mbelemlipima kwanza maradhi kama genital warts, HPV, hepatitis, yellow fever, HIV n.k??
Kuna muda wa ku undergo hivyo vipimo vyote na watu wapo njwiiii?ππ Mfano HPV na G wrats huchukua siku 7 mpaka majibu kutoka maana ni lazima ufanye blood culture if I ain't mistaken.mlipima kwanza maradhi kama genital warts, HPV, hepatitis, yellow fever, HIV n.k??
yes ni lZima blood culture. vijana wanapupia ugwadu π hawakumbuki hayoKuna muda wa ku undergo hivyo vipimo vyote na watu wapo njwiiii?ππ Mfano HPV na G wrats huchukua siku 7 mpaka majibu kutoka maana ni lazima ufanye blood culture if I ain't mistaken.
swali kwa swali. ungejibu nimezingatia mkuu. najua ulichozingatia hapo zaidi ni HIV..kuna STDs ni life threatening na ni permanent. anayekueleza haya ni kaka yako malaya mstaafu.unafikiri mi naenda kama kondoo ati..?
π€π€π€π€π€π€π€Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!.
yeye akilewa ni amapiano Tu!.
atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!.
nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!
Tanzania maisha ni mepesi sanaWeekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!.
yeye akilewa ni amapiano Tu!.
atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!.
nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!