Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Alikuwa agent of devil /Satan at work.rudi tu kwa yesu ndio mkombozi wako right now.
 
We jamaa nae wa wapi ww?.
Yaan hujui nyumban kwa mwanamke wako kuanzia siku ya kwanza,preg hatimaye kakid kanazaliwa HUPAJUI KWAO?.
Ur not serious,
NJOO NA UZI MWINGINE hii inaboa!.
 
kunaulakini...ukiunganisha dots unaishia kuona hii ni chai isiyo viungo. Nenda poster saa tano usiku utamkumkuta.
 
Hiki kitu kidogo sana, karipoti polisi upate mpelelezi then mtaenda kwene kampuni ya simu na kutrace top five yake then mtawakuta hao na kuhoji wawili prefarable women watatoa no yake ya sasa utampata. Yesu anashughulikia mambo mazito zaidi kama watu wanaoteswa bila kuwa na hatia eg ukatili wanaofanyiwa albino
 
umezaa na jini duh......walai nakwambia yn ni jini
 

Ahsante Mkuu
 
Umesema mtoto umemkuta posta kaJINInamia ??? Unamsemesha anakutazama na kubenua mdomo kwa dharau ?? Halafu anaitwa SHEILA ?? Haya bana pole na maswahibu

Soma Vizuri Uzi Mkuu... Au Ulitaka Niandike Kila Kitu... Hivi Mtu Uliyeishi Naye na Kuzaa naye Huwezi Kujua Jina lake? Siamini Kama Umeshindwa kuelewa kuwa nazungumzia Past tense mkuu
 

Ahsante Mkuu Hakika Umenipa Nguvu na Imani ya Kuipigania Damu Yangu.... Ubarikiwe Sana
 
kunaulakini...ukiunganisha dots unaishia kuona hii ni chai isiyo viungo. Nenda poster saa tano usiku utamkumkuta.

Siamini Kama Hata Ww ni Great Thinkerz.. Lakini Naongea na Mungu Kwa Kuwa Ndiye Ajuae Sio Binadamu...
 
We jamaa nae wa wapi ww?.
Yaan hujui nyumban kwa mwanamke wako kuanzia siku ya kwanza,preg hatimaye kakid kanazaliwa HUPAJUI KWAO?.
Ur not serious,
NJOO NA UZI MWINGINE hii inaboa!.

Inaboa Ki vipi Mkuu... Labda Nikuulize Umesoma Majibu Yangu kwenye baadhi Ya Comment? Binti Alinikutanisha na Mama Mmoja Hivi Akanambia Huyo Ndiyo Anapajua Kwao na Hata Likitokea Tatizo Muone Huyo na Hata Binti Alipokuwa Mjamzito Yule Mama Alikua Anakuja Kwangu.... Tatizo Mmezoea Kupuuza Thread Za Watu... Great Thinkerz Hawezi Kuwa na Upeo wa Aina Hiyo
 
mama haibi mtoto...mwache atamrudisha au mtoto atakutafuta
 
Soma Vizuri Uzi Mkuu... Au Ulitaka Niandike Kila Kitu... Hivi Mtu Uliyeishi Naye na Kuzaa naye Huwezi Kujua Jina lake? Siamini Kama Umeshindwa kuelewa kuwa nazungumzia Past tense mkuu

Umeshindwa kunielewa ,anyway all the best
 
kubali tu ulikuwa mtoa mbegu basi... tafuta demu mwingine uzae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…