Dah!Huku jukwaani wenye ndoa sizani kama wanazidi wanne!
Humu kila mtu yuko single kama wewe! Hata mie niko single na karibu 90% ya wote humu ndani ni masingle!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjanja kimaisha 😊🤣🤣🤣🤣🤣 we unataka awe na ujanja upi sasa?
Sasa ndugu Muuza pombe na kitimoto huyo mtoto wa kiislamu utakua unamlisha pesa ya haram?
Sent From Galaxy S9
Penzi ni kama uchawi. Anaweza hata akakusaidia kuuza bar.Hahahahahahah ah wapi mtoto anainjoy huba la kinyamweiyzi! Ashakum si matusi, mtoto nimemkoleza!
Hahah yani ndo mama zetu lakini, mwanamke akikupenda anakuwaga ready for anything.Penzi ni kama uchawi. Anaweza hata akakusaidia kuuza bar.
Sent From Galaxy S9
Basi upo mahali sahihi😁😁😁Mjanja kimaisha 😊
unawashaur nin wanaoenda kuombewa kwa akina Gwajima??
Binafsi tulikutana nyumbani kwa mchungaji ilituchukua miezi kadhaa kuingia kwenye mahusiano mpaka kufikia ndoa ilituchukua miezi saba tu na sasa tuna mwaka na nusu toka tumefunga ndoa na hivi karibuni tunategemea kupata mtotoWanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile:
1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo
2.ulienda kuombewa kwa mchungaji
3.ulitafta mtandaon
4.alikuwa mwalimu wako darasan
5.alikuwa mpangaji
mwenzio
6.alikuchumbia
Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume zenu ambao wamewaoa na mnafamilia kabisa
Uko nachi nnHahah mie ndio nasubiria kumpokea kimwali wangu leo atue Ngwea tupate cha kusimulia mwakani 🤣🤣🤣!
cc Hawachi
Ngwea means ghetto kwangu brazaUko nachi nn
Ndio, why not wakati atakuzalia watoto smart?
mchawi sio lazma avae matunguli[emoji28][emoji28][emoji28]utampeperushia ndege wake huoni mwenzio yupo mawindoni jamani [emoji23][emoji23]