Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

Huku jukwaani wenye ndoa sizani kama wanazidi wanne!
Humu kila mtu yuko single kama wewe! Hata mie niko single na karibu 90% ya wote humu ndani ni masingle!!

Sent using Jamii Forums mobile app
hakunaga watu single.. wengi wapo taken but constantly looking for a better partner than the one they have, ndo mana wakifika kwenye social media hujitangaza wapo single.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mume wangu nlimpata siku ya graduation yangu ya form six, alikuja kwa ajili ya graduation ya mdogo wake ambae nilijua nahitimu nae.Safari yetu ya mapenzi ilianzia palé japo sikua naamin kama ana future na mim kwa kua alikua kashamaliza chuo na kazin alikua na miaka miwili. Nkiwaza huenda ana mtu wake wa permanent hivyo anataka anipitie na kuondoka. Nlianza kuamin baada ya mim kukosa mkopo wa helsb akasema atanisomesha kwa kunilipia gharama zote za chuo kwa shart moja tu kua nimuhakikishie sina mtu ambae ana malengo na mim,na alisema ikiwezekana anioe kwanza ili ajihakikishie. Wazo la kuolewa kabla ya kumaliza chuo nlikataa akasema bas aruhusiwe kwenda kujitambulisha na kulipa mahari,alifanya hivyo,safar ikaendelea ila nlivyofika second year tulifunga ndoa kutokana na yeye kukosa aman kua huenda nisiolewe nae.. Hiyo ndo Ilikua safari yangu ya kupata mume wangu wa maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mume wangu nlimpata siku ya graduation yangu ya form six, alikuja kwa ajili ya graduation ya mdogo wake ambae nilijua nahitimu nae.Safari yetu ya mapenzi ilianzia palé japo sikua naamin kama ana future na mim kwa kua alikua kashamaliza chuo na kazin alikua na miaka miwili. Nkiwaza huenda ana mtu wake wa permanent hivyo anataka anipitie na kuondoka. Nlianza kuamin baada ya mim kukosa mkopo wa helsb akasema atanisomesha kwa kunilipia gharama zote za chuo kwa shart moja tu kua nimuhakikishie sina mtu ambae ana malengo na mim,na alisema ikiwezekana anioe kwanza ili ajihakikishie. Wazo la kuolewa kabla ya kumaliza chuo nlikataa akasema bas aruhusiwe kwenda kujitambulisha na kulipa mahari,alifanya hivyo,safar ikaendelea ila nlivyofika second year tulifunga ndoa kutokana na yeye kukosa aman kua huenda nisiolewe nae.. Hiyo ndo Ilikua safari yangu ya kupata mume wangu wa maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
hongera sana..na imagine ndoa yenu iko na amani na furaha sana coz umeolewa na mtu anaekupenda haswaa.
 
Hivi wanawake mnakuwa na akili gani mpaka mnakubali kushare dushelele tena bila hata haibu?
Wewe mimi sio hivyo mume niliyenaye nimefunga harusi kanisani nanibaada ya mwanaume kutelekezwa na mke .
Mke kapata tajiri zaidi yake kaenda na watoto wadogo nakumuachia talaka na watoto wakubwa hii nimefupisha sikutaka kuolewa naye ila yeye nafamilia yake kuona mi mke nitakayemfaa wakanishtukiza ujio wa home kwa utambulisho na posa so ikabidi nikubaliii.
Humu nilikutana naye tu kipindi mnanidhihaki mi malaya ila kupeana mawasiliano ni mtu namjua kitamboo kunifungukia wee akaona nimekubali kiasi fulani sina jibu kamilii akaona amalizie kilichobakia.
Wewe hivi unawachumba wangapi wote siwanakushea je dini ya kislamu.
Wake uwezavyo wao hawashei ???.
 
unajua unakuta mtu anaenda kuombewa pale afu anarudi nyumbani anajifungia, haongei na watu, hasocialise, sijui hapo inakuweje aisee maana hata Mungu anashindwa. Ukikonyezwa, ukichekewa, ukiombwa namba unakemea mapepo. keep in touch with friends, socialise na marafiki wa marafiki zako huwezi jua. Mungu anapanga, si tumalizie.
Ni kweliii majini yenyewe yapo njee licha wanadamu.
 
Back
Top Bottom