Mwanamke ukiishi naye bila ndoa anakuheshimu zaidi kuliko ukifunga naye ndoa, kwa sisi Wakristo

Mwanamke ukiishi naye bila ndoa anakuheshimu zaidi kuliko ukifunga naye ndoa, kwa sisi Wakristo

Na unaishije na mtoto wa watu kabla haujafunga ndoa?

Njoo mjini hilo linawezekana kabisa.
Kwani umemlazimisha?
Kwani yupo under 18?

Watu wanatoka Nchi moja kwenda nchi nyingine kuishi na wanawake au wanaume na hakuna mambo hayo ya wazazi wewe upo dunia IPO Mkuu?

Kizamani/ kiutamaduni haipendezi kuishi kimahusiano bila ya kujua wazazi wake, lakini Kisasa au kiutandawazi Hilo ndilo linatokea Kwa waliowengi Mijini
 
Mleta mada nawapa pole wazazi wako

Dume zima kutwa kuongelea wanawake

najua kwa nini unapiga vita wanawake kufunga ndoa unawaonea wivu kwa sababu uzijuazo hutaki wafunge ndoa ili mapenzi ya jinsi moja yaendelee !!!

Mashoga ya kiume huwa yana wivu na hasira na wanawake na kutwa huwasema wanawake

Ukiwaona wazazi wako waambie pole kukuzaaa
 
Njoo mjini hilo linawezekana kabisa.
Kwani umemlazimisha?
Kwani yupo under 18?

Watu wanatoka Nchi moja kwenda nchi nyingine kuishi na wanawake au wanaume na hakuna mambo hayo ya wazazi wewe upo dunia IPO Mkuu?

Kizamani/ kiutamaduni haipendezi kuishi kimahusiano bila ya kujua wazazi wake, lakini Kisasa au kiutandawazi Hilo ndilo linatokea Kwa waliowengi Mijini
Ukosefu wa adabu, na ndio maana ndoa nyingi zinakufa mapema na hazina maadili. So si kitu kizuri cha kufurahia hata kidogo. Imagine mtoto wako kavushwa na msela unajisikiaje kama mzazi?
 
Mleta mada nawapa pole wazazi wako

Dume zima kutwa kuongelea wanawake

najua kwa nini unapiga vita wanawake kufunga ndoa unawaonea wivu kwa sababu uzijuazo hutaki wafunge ndoa ili mapenzi ya jinsi moja yaendelee !!!

Mashoga ya kiume huwa yana wivu na hasira na wanawake na kutwa huwasema wanawake

Ukiwaona wazazi wako waambie pole kukuzaaa
Weka hoja! Tulia acha wenge, pangilia hoja zako! Using'ate meno, bora ukimbie!
 
Ukosefu wa adabu, na ndio maana ndoa nyingi zinakufa mapema na hazina maadili. So si kitu kizuri cha kufurahia hata kidogo. Imagine mtoto wako kavushwa na msela unajisikiaje kama mzazi?
Mtoto amtoe wapi huyo? Kutwa anawasema wanawake tu ana mtoto huyo? Wala hata hatarajii na hawezi kuzalisha mtu huyo kwa jinsi alivyo
 
Mtoto amore wapi huyo? Kutwa anawasema wanawake tu ana mtoto huyo? Wala hata hatarajii na hawezi kuzalisha mtu huyo kwa jinsi alivyo
Inasikitisha sana, amekuwa na negativity nyingi sana kwa hawa mama zetu. Wanawake waheshimiwa, mwanamke analindwa na mwanaume. Wanaume wengi wanajivua majukumu yao, wanabaki kupiga ukunga tu
 
Ukosefu wa adabu, na ndio maana ndoa nyingi zinakufa mapema na hazina maadili. So si kitu kizuri cha kufurahia hata kidogo. Imagine mtoto wako kavushwa na msela unajisikiaje kama mzazi?

Ndio dunia ya sasa ilipofikia.

Wewe ukileta adabu kuzimu si utachekwa.

Ukishabomoa misingi ya nyumba tarajia kuta Kuota nyufa na nyumba kuanguka
 
Mleta mada nawapa pole wazazi wako

Dume zima kutwa kuongelea wanawake

najua kwa nini unapiga vita wanawake kufunga ndoa unawaonea wivu kwa sababu uzijuazo hutaki wafunge ndoa ili mapenzi ya jinsi moja yaendelee !!!

Mashoga ya kiume huwa yana wivu na hasira na wanawake na kutwa huwasema wanawake

Ukiwaona wazazi wako waambie pole kukuzaaa

🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ulitaka nikutie mimba wewe?
 
Ndio dunia ya sasa ilipofikia.

Wewe ukileta adabu kuzimu si utachekwa.

Ukishabomoa misingi ya nyumba tarajia kuta Kuota nyufa na nyumba kuanguka
Jambo zuri ni kwamba wote haiwezekani kuishi katika fikra kama zako. Bado wapo watu wanao heshimu ndoa, wanaheshimu miiko, wenye adabu wenye kufata misingi yote ipaswayo kufatwa
 
Jambo zuri ni kwamba wote haiwezekani kuishi katika fikra kama zako. Bado wapo watu wanao heshimu ndoa, wanaheshimu miiko, wenye adabu wenye kufata misingi yote ipaswayo kufatwa

Na sipo hapa Kwa ajili ya watu wote. Isipokuwa Wale wenye akili na mtazamo Kama wangu.

Sipo hapa Kwa ajili ya kushawishi kundi lolote
 
Mleta mada nawapa pole wazazi wako

Dume zima kutwa kuongelea wanawake

najua kwa nini unapiga vita wanawake kufunga ndoa unawaonea wivu kwa sababu uzijuazo hutaki wafunge ndoa ili mapenzi ya jinsi moja yaendelee !!!

Mashoga ya kiume huwa yana wivu na hasira na wanawake na kutwa huwasema wanawake

Ukiwaona wazazi wako waambie pole kukuzaaa

Kama ulirithi ushoga kutoka Kwa Babaako usidhani kila mtu anatabia zenu.
 
Kama ulirithi ushoga kutoka Kwa Babaako usidhani kila mtu anatabia zenu.
Humu jukwaani tumeshakuelewa wewe ni mtu wa aina gani !!! Pole kwa wazazi wako kukuzaa .

Nifikishie pole zangu kwao hasa mamaako mzazi mpe pole sana kubeba zigo la wewe miezi tisa akija kabeba mimba ya maana kumbe kabeba shoga
 
Humu jukwaani tumeshakuelewa wewe ni mtu wa aina gani !!! Pole kwa wazazi wako kukuzaa .

Nifikishie pole zangu kwao hasa mamaako mzazi mpe pole sana kubeba zigo la wewe miezi tisa akija kabeba mimba ya maana kumbe kabeba shoga

Ndio nikakujibu,
Usifikiri kuwa Kwa vile umerithi ushoga Kwa Babaako, ukadhani kila mtu anatabia za kipuuzi kama zenu.

Tupo hapa kuwanyoosha watu wenye tabia za kipuuzi kama zenu.

Unafikiri Kwa kutukana kwako ndio kutapunguza kuwanyoosha watu wa tabia zenu na wanawake wapumbavu 😀😀
 
Back
Top Bottom