Kwakweli hapo lazima mgao uhusike πππ,, maana kila mtu atakua anamngβangβania.. Yanini pressure za ujanani wakati mikono na nguvu ninazo za kutafuta helaπKwahio
unamtaka mchochezi tu mengine utajiongeza mwenyewe. Hii imekaa njema sana na umekuwa realistic haswaa. Kiufupi huyo mwenye vyote hutainjoy sababu mtakuwa kwenye mgaoπ
Mwanamke atakwambia anaitaji show kali tu ila usipojiongeza na mengineyo lazima abadilike. Hiyo ni MUST.Hope you knowπππ
Hakuna kitu kama hicho we hayaπππ.. Unadhani hata yeye mwenyewe angekua hivyo wa maandishi yake jamaa angemtindua miaka yote ile na kumwachaππ.. Kwasababu hakuna mwanaume asiyependa malaika wa namna hiyoπ wapo ila simaanishi wasiopenda pesa, kwangu mwanamke bora ni muhimu awe na angalau 75% ya sifa alizozitaja Nifah
Hii dunia ni kubwa sana kwa bahati mbaya hakuna anaekuchagulia wa kuwa nae kwenye maisha, mwanamke kama hanieshimu wanini sasa? Na heshima inajengwa na upendo. Siwazungumzii slay queens nawazungumzia wanawake bora wenye sifa ya kuwa wake za watu.
Haya sawaπMwanamke atakwambia anaitaji show kali tu ila usipojiongeza na mengineyo lazima abadilike. Hiyo ni MUST.
π nadhani hujamuelewa au umemuelewa tofauti.Hakuna kitu kama hicho we hayaπππ.. Unadhani hata yeye mwenyewe angekua hivyo wa maandishi yake jamaa angemtindua miaka yote ile na kumwachaππ.. Kwasababu hakuna mwanaume asiyependa malaika wa namna hiyo
Asa we jidanganye ujuteπ
Hivyo vyote mbwembweππ,, ingekua watu wanafata heshima tu na hivyo vingine sidhani kama kuna ndoa zingevunjikaga na kusingekua na kuchitianaππ..π nadhani hujamuelewa au umemuelewa tofauti.
Sikatai hakuna alie hivyo 100% ndio maana nikasema atleast 75%.
Kama hawapo nioe mtu aniheshimu yanini? Si kujitafutia matatizo?
Ieleweke mimi sio kataa ndoa na wala sio mpinga pesa kwenye mapenzi.
Kama kweli mungu yupo, basi nahisi aliwaumba hivyo, tuwaache kama walivyo ππ. Ukishindana na Mwanamke lazima uwahi king'ata shuka.π naam naam hii ni kawaida kabisa
Aiseee!! Angalau mmetoa kipengele cha tall dark and handsome. Na imani by 2040 kipengele cha kuwa na hela nacho kitapotea na kubakia cha kufika kibo tuuKwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
Relationships are about sex, goals achia halland. Ndalama uongeza utelezi wa mbususuHivyo vyote mbwembweππ,, ingekua watu wanafata heshima tu na hivyo vingine sidhani kama kuna ndoa zingevunjikaga na kusingekua na kuchitianaππ..
Hakuna mwanamke asiyependa hela wala mjegeje, na hivyo ndo vigezo vikuu almost kwa kila mtuππ
We endelea kupumbazika na ngonjera na mashairi na mapambio ya malaika wa humuβ¦ Am outπππ
Kwakweli ππππRelationships are about sex, goals achia halland. Ndalama uongeza utelezi wa mbususu
Upo honest sana legend, yaani unaongea lililo moyoni kabisa. Ningekuwa mdogo kidogo ningekuchumbia(kama jimbo lingekuwa wazi)π€£π€£π€£π€£Eti legend,yaani unakosa kile kiheshima Cha uanamme...jitunze Mzee mwenzangu ujiepushe na ulinzi wa ghafla
Bado nasema umeelewa tofauti, unavyovizungumzia ni tofauti kabisa na hoja yangu.Hivyo vyote mbwembweππ,, ingekua watu wanafata heshima tu na hivyo vingine sidhani kama kuna ndoa zingevunjikaga na kusingekua na kuchitianaππ..
Hakuna mwanamke asiyependa hela wala mjegeje, na hivyo ndo vigezo vikuu almost kwa kila mtuππ
We endelea kupumbazika na ngonjera na mashairi na mapambio ya malaika wa humuβ¦ Am outπππ
Kwa mtu wa age yako ( japo si fahamu) ni vijana wachache mno wanaoweza kukupa vyote, kwani vijana wengi wanajitafuta na kutokana na sababu hiyo options inayobakia ni vibabu au mme wa mtu.Mi sijasema nataka kibabu Cha kunipa Hela mkuu umenisoma vibaya,nimesema ukipata wa kukupa vyote?kwani wenye Hela ni vibabu tu?hakuna vijana wenye Hela?
Kaka usishindane na ke pendedjee atamhonga noah.Kama kweli mungu yupo, basi nahisi aliwaumba hivyo, tuwaache kama walivyo ππ. Ukishindana na Mwanamke lazima uwahi king'ata shuka.
Hakuna kilichotolewa hapo, usidanganyike πAiseee!! Angalau mmetoa kipengele cha tall dark and handsome. Na imani by 2040 kipengele cha kuwa na hela nacho kitapotea na kubakia cha kufika kibo tuu
Nahisi kukuelewa, aisee pamoja na uzee huu bado tunajifunza kwa vibinti kama nyieπ€£π€£Hakuna kitu kama hicho we hayaπππ.. Unadhani hata yeye mwenyewe angekua hivyo wa maandishi yake jamaa angemtindua miaka yote ile na kumwachaππ.. Kwasababu hakuna mwanaume asiyependa malaika wa namna hiyo
Asa we jidanganye ujuteπ
We ni special case Jo hii haukuhusuππππ
ππππSina cha kudanganya as ananijua kuliko ninavyoandika hapa. Hakuna asiyependa hela ila sio kuweka katika vigezo.
Kipo bwana zamani walikuwa wanasema wanataka mwanaume tall dark and handsome, awe na pesa na anua kusugua mbususu Kelsea upo?Hakuna kilichotolewa hapo, usidanganyike π
Ndio hivyo lakini sasa mbona sie wenye pesa na vibamia mnatukataaa wakati kilaknishi cha mbususu tunachoKwakweli ππππ