Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Ama kweli watu hatufanani. Ulivyovitaja kama vigezo vikuu kwangu sivyo ninavyohitaji kutoka kwa mwanaume wa kujenga nae familia.

Lakini, naheshimu mtazamo wako Joannah na wote wenye vipaumbele hivyo.
Kila mmoja na namna anavyoyaona maisha.
Nifah unateseka ukiwa wapi Sasa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…