Huwezi kuwa serious Mkuu. Yani mwanaume wa kuwa mume kigezo cha kwanza kiwe umbea? LolsIla mkuu kuna uzi wako fulani hivi wa kimbeya, ulisema kigezo cha kwanza unachozingatia kwa mwanaume wa kuwa naye, ni lazima na yeye awe mbeya( yani mfanane tabia) ๐ ๐ au nakufananisha mkuu???
Acha mkuu, wakifika 30 wanapagawa.Mfano sasa hivi mda huu nipo kwenye mgahawa zimeingia pisi mbili kali,zimetangulizwa then vibabu vyao vimewafuata kwa nyuma. Mmmoja sijui hana experience ila anavyo ongea na kibabu chake anaona aibu na hayupo comfortable kabisa.
Kusema ukweli wanaume ambao mnawataka nyinyi wa kuwapa hela kwa ajili ya vitu luxury ni vibabu na wanaume za watu. Ila vijana ambao ni age yenu uwezo wao ni kuwapa mahitaji ya MSINGI.Swala lenu mkubali kuwa nyumba ndogo au single mother. Yaani siku hizi mnataka kijana anaye jitafuta ahandle vikoba,mikopo,michezo majina matatu na mahitaji mengine ni uongo.
Tatizo siku hizi hamjui kutofaitisha lipi hitaji la msingi lipi ni luxury na wengine hata zile feelings za mapenzi mshapoteza, mnafikiria hela sometimes mkikutana na wahuni wana watumia vibaya kingono na nyinyi mnaona sawa.
Yaani na watizama hawa mabinti hapa hata ile chemistry huioni bali tu wanatizama pochi basi.
๐ ๐ ๐ฒ๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ต ๐ธ๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ถ๐ท๐ฎ๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐ฎ๐ป๐ถ๐๐ต๐ฎ, ๐ถ๐ป๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐บ๐ฏ๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐บ๐ฒ ๐ต๐ถ๐ถ ๐ถ๐บ๐ฒ๐ธ๐ฎ๐ฎ๐ท๐ฒ ๐บ๐ธ๐๐???Huwezi kuwa serious Mkuu. Yani mwanaume wa kuwa mume kigezo cha kwanza kiwe umbea? Lols
Hiyo ni nyongeza, na inapendeza maana sitaboreka tutaongea mengi na kufurahi.
Sikia, umbea ninaoongelea mimi ni kujua habari za mjini. Sio umbea wa uswahilini kufuatilia maisha ya watu na kusutana hapana, mimi tu sipo hivyo na siku majirani zangu wakijua mimi ndio cha umbea wa JF watazimia!๐ ๐ ๐ฒ๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ต ๐ธ๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ถ๐ท๐ฎ๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐ฎ๐ป๐ถ๐๐ต๐ฎ, ๐ถ๐ป๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐บ๐ฏ๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐บ๐ฒ ๐ต๐ถ๐ถ ๐ถ๐บ๐ฒ๐ธ๐ฎ๐ฎ๐ท๐ฒ ๐บ๐ธ๐๐???
๐๐ ๐ธ๐๐ป๐ฎ ๐๐บ๐ฏ๐ฒ๐๐ฎ ๐๐น๐ถ๐ผ๐๐บ๐ฎ๐ฎ๐ป๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐บ๐ธ๐๐ ๐๐ผ๐ณ๐ฎ๐๐๐ถ ๐ป๐ฎ ๐ต๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ฎ๐ผ๐๐ท๐๐ฎ ๐บ๐ถ๐บ๐ถ, ๐ฎ๐ ๐ต๐๐ ๐ป๐ถ๐ป๐ฎ๐ผ๐ธ๐๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ผ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ????
๐๐๐๐๐ ๐ฒ๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ต, ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐บ๐ธ๐๐ ๐๐ฎ๐ต๐ถ๐๐ถ ๐๐บ๐ฒ๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐๐ฒ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐ฝ๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ท๐ถ๐ป๐ถ.Sikia, umbea ninaoongelea mimi ni kujua habari za mjini. Sio umbea wa uswahilini kufuatilia maisha ya watu na kusutana hapana, mimi tu sipo hivyo na siku majirani zangu wakijua mimi ndio cha umbea wa JF watazimia!
Sasa mimi namshukuru Mungu wa kwangu anazo habari za mjini za uhakika yani, ni burudani acha tu.
Ikifikaga hiyo moment ya kupewa hizo habari huwa najihisi niko mawinguni ๐๐
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787] comment yako imenifurahisha sanaโข Wanawake hawana formula,
โข Mwanamke unaweza mfungulia biashara, alafu akaja kuolewa na mteja.
Nina mambo mengi sijapata nafasi, usifanye mchezo kuandika vile sio rahisi.๐๐๐๐๐ ๐ฒ๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ต, ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐บ๐ธ๐๐ ๐๐ฎ๐ต๐ถ๐๐ถ ๐๐บ๐ฒ๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐๐ฒ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐ฝ๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ท๐ถ๐ป๐ถ.
Naogopa kufukuzwa kikaoni kwa kuwa nje ya mada maana mi ni mtetezi wa ule upande mwingine.๐ซฃMjumbe mbona umekuwa muoga?ongea mjumbe,maana wajumbe mna nguvu sana๐๐๐
Kuna namna gossip na mshkaji โwako zinanoga.Sikia, umbea ninaoongelea mimi ni kujua habari za mjini. Sio umbea wa uswahilini kufuatilia maisha ya watu na kusutana hapana, mimi tu sipo hivyo na siku majirani zangu wakijua mimi ndio cha umbea wa JF watazimia!
Sasa mimi namshukuru Mungu wa kwangu anazo habari za mjini za uhakika yani, ni burudani acha tu.
Ikifikaga hiyo moment ya kupewa hizo habari huwa najihisi niko mawinguni ๐๐
๐ ๐ ๐ ๐๐ถ๐ท๐๐ถ ๐ต๐ฎ๐๐ฎ ๐ป๐ถ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐บ๐ฒ๐ป๐ถ๐ฐ๐ต๐ฒ๐ธ๐ฒ๐๐ต๐ฎ ๐๐๐๐Nina mambo mengi sijapata nafasi, usifanye mchezo kuandika vile sio rahisi.
Na zinanogesha ushkaji as mnajiona kuwa sawa, kuna bond flani mnajenga.Kuna namna gossip na mshkaji โwako zinanoga.
Tema mate chini, pesa za nini kama kazi yako ni kuiwekea papa mkono!Ni Bora uishiwe nguvu za kiume kuliko pesa
Ngoja nikwambie, huwa naletewa habari. Inabidi nifanye research ya wahusika wote, niwajue kiundani na facts za habari zioane.๐ ๐ ๐ ๐๐ถ๐ท๐๐ถ ๐ต๐ฎ๐๐ฎ ๐ป๐ถ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐บ๐ฒ๐ป๐ถ๐ฐ๐ต๐ฒ๐ธ๐ฒ๐๐ต๐ฎ ๐๐๐๐
๐ฆ๐ต๐๐ธ๐ฟ๐ฎ๐ป๐ถ ๐ถ๐ป ๐ฎ๐ฑ๐๐ฎ๐ป๐ฐ๐ฒ ๐บ๐ธ๐๐,, ๐ต๐ฎ๐ธ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ต๐๐๐ฎ ๐๐๐ป๐ฎ๐ฏ๐๐ฟ๐๐ฑ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ฅฐ,, ๐ธ๐ผ๐ป๐ด๐ผ๐น๐ฒ ๐ธ๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐น๐ผ.Ngoja nikwambie, huwa naletewa habari. Inabidi nifanye research ya wahusika wote, niwajue kiundani na facts za habari zioane.
Kuna habari nyingi sana huwa siziandiki kwa kuzingatia vigezo tajwa, nikifanya research ikashindwa kunivutia au nikaona italeta mkanganyiko naachana nayo.
Mwisho kwenye uandishi, huwa natumia sio chini ya lisaa limoja na nusu hadi mawili na nusu kuandika inategemea na habari. Kupata mtiririko wa kuvutia sio rahisi. Mkisoma muwe na shukrani, ile ni kazi.
Halafu wanajua kudaiUmesahau kwamba mwanamke ni wakupewa?.
Unampa hela.
Unampa dudu.
Chakula
Malazi na nguo