Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Mpaka nikuone ndio nitaaminiHamna ukioa Mtu kama mimi ni Raha tu mbona,usitishe wenzio bhana😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka nikuone ndio nitaaminiHamna ukioa Mtu kama mimi ni Raha tu mbona,usitishe wenzio bhana😁
Tatizo wanajf tunaoneana aibu. Ukizingatia upo Arusha, bas natamani iwe kweliUtafall in love chighafla😁😁
😂😂😂😂 Muulize yaliyomkuta akwambie.!!Kivipi?milioni 7 sio shida zake acha kumsingizia
Hapo sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Basi sikuachi beibyyy [emoji8][emoji182]
🤠Hapo sawa[emoji23]
[emoji23][emoji23]tulia basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muulize yaliyomkuta akwambie.!!
😍😍😍🤰Ariii riiiiii riiiiii nakuletea ukwaju na ndimu
😂😂😂😂[emoji23][emoji23]tulia basi
🤣🤣🤣 ni wewe kweli?Aisee me nataka anaejua kupeleka moto iie kiukweli ukweli,, hela me mwenyewe mtafutaji mzuri sana.. Na akiw na vyote pia sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I guess huu ni mwaka wakupigania na kuokota mapato kwenye mahusiano![emoji851]
Vigezo na masharti vizingatiwe!!!
Umeongea ukweli Kabisa mkuuAnayekuridhisha hapo kibo na hana fedha anaweza kuja kujaaliwa fedha kama akipambana ila anayechop na hakufikishi sio rahisi kurudi katika default settings na wengi wanakuwa ni wazee, na wenye changamoto mbali mbali za maradhi.
vidada vilivyo na tamaa, sidhani kama vitakuelewaKwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akikupa wewe unapeleka wap au kwa mwamposa??Mtatutoa roho acheni hizo
kuna maisha baada ya kumpelekea huo moto.Kwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.