Mwanamke ukimtukuza na kumnyenyekea sana uwe na uhakika atakunyea kichwani! Inabidi tukae nao kijasusi!

Mwanamke ukimtukuza na kumnyenyekea sana uwe na uhakika atakunyea kichwani! Inabidi tukae nao kijasusi!

Wenye akili tunajua na ushahidi tunao ya kwamba ili udumu na mwanamke katika mahusiano lazima uwe dikiteta au jasusi kwake (hata wao ndivyo wanavyotaka) lakini ukijifanya lofa na kujifanya eti unampenda saana na kumzimia saana lazima akunyee kichwani. Familia nyingi zimeanguka sababu kubwa ni kwa wanaume kutotambua kanuni hii. Hii ni kanuni ya asili ya kukaa na mwanamke kama kanuni nyingine za asili ya kwamba ukirusha jiwe juu lazima lirudi chini.
Ebu niwape mfano katika moja ya vitabu maarufu vinavyosomwa saana yaani Biblia: Katika kitabu cha "Esta 1:10-12"; kulikuwepo mfalme anaitwa Ahasuero (mtoto wa mfalme Darius mkuu) katika ufalme wa Uajemi (Iran ya sasa hivi). Huyu mfalme alikuwa na nguvu sana aliweza kutawala na kuangusha ngome za kifalme kama Ugiriki na kuziangusha. Sasa Bwana, ikawa siku moja aliwafanyia karamu (sherehe) majemadari na watawala wa majimbo yake; wakala na kunywa na kufurahi. Akatuma waangalizi wakuu saba (7) waliokuwa wanaangalia makazi ya wake na masuria (vimada) wa mfalme waende na kumuita huyo Malikia (Queen) wa mfalme ili awaonyeshe waalikwa jinsi alivyokuwa mrembo na mzuri. Kumbuka huyu ni mfalme mkuu kakaa meza kuu na kazungukwa na wakuu wa majimbo na majemedari wakuu wa vita. Na kipindi hicho sherehe kubwa kama hizo usingeweza kumuona mwanamke, walikuwa wanaume watupu. Hivyo basi, mfalme alikuwa amemuheshimisha saana Malikia na kumpelekea ujumbe wa wanaume saba (7) waende kumuita. Bila shaka walienda wamepanda magari yaliyokokotwa na farasi maridadi kwa kipindi kile. Hawa wake za mfalme walikuwa matawi ya juu kiasi kwamba wanaume na walinzi wao walikuwa wanahasiwa (castrated) ili pasiwepo uwezekana wa kuwaingilia. Sasa cha kushangaza huyo Malikia baada ya kuletewa ujumbe alijibu na kusema "rudi zenu, mwambie mfalme kuwa siji". Kumbuka Malikia ki_protokali "akisema, kasema" hivyo huo (hao) wanaume (wajumbe) wakageuza na kwenda kumpa habari mfalme. Kilichoendelea utamalizia. Hila point yangu ni kuwa huyu mwanamke alikuwa na JEURI ya kiwango cha SGR. Sasa wanaume wa kizazi kipya kukaa kizembe na mwanamke na mambo yao ya harakati na usawa wa kijinsia ndo kunapelekea ndoa nyingi kuvunjika na mwisho wa siku ni utitiri wa Masingle mother na watoto wa mitaani. Mwanamke inabidi hasiwe na haki kabisa ndani ya nyumba. Haki yake ibaki kutimiziwa yale mambo ya msingi kama malazi, chakula, mavazi, kuzaa na kulea watoto. Katika mfumo wowote hata kama ni mbaya lakini kuna kitu kizuri ambacho wanakimudu, kwa mfano mfumo wa kiislamu wa "sharia" naukubali kwasababu unamuhadabisha mwanamke katika misingi ya kumuweka katika nafasi yake! Mimi ni muumini wa Robert Heriel Mtibeli naomba hupokee salamu zangu. Nakaribisha povu kutoka kwa wanawake vichwa maji wasiokuwa na adabu ya kuwatii waume zao! Karibu!
(Naye atakutawala...,enyi wanawake watiini waume zenu...)Ukienda kinyume cha hiyo mistari lazima ndoa ikutafune...
 
Hivi ni kwamba hapa JF kuna kundi limeandaliwa kupinga ndoa au kuna ajenda gani mbna kila siku nyuzi za kukandia ndoa zinazidi au ndio hali halisi mtaani?
 
Mwanaume hakuumbwa amnyenyekee mwanamke ila mwanamke amnyenyekee mwanaume wake
Ibilisi anachofanya nikupindua kila mpango wa Mungu,watu waishi kwenye fhambi kila sehemu.

Mwanaume utahukumiwa kwa kumuacha mkeo aishi ushenzi.
Avae mavazi yasiyo ya heshima,awe mlevi na ww ungalipo.
Na jtajibia siku hio
 
Hivi ni kwamba hapa JF kuna kundi limeandaliwa kupinga ndoa au kuna ajenda gani mbna kila siku nyuzi za kukandia ndoa zinazidi au ndio hali halisi mtaani?
Tatizo sio ndoa! Tatizo ni wanawake na hizi taasisi za uaharakati! Wanawake wanalishwa na kuhaminishwa mambo ambayo kimsingi yanawadhuru wenyewe na watoto kuishia mitaani. Wanaume waliowengi hatuna shida! Wanaume tunaupendo wa dhati tena ule wa "agape". Sasa hii mianamike mishetani inaenda na kuokoteza mitabia kwenye mitandao na hao wa haki sawa alafu wanazileta ndani! Wee mwanamke huwe na uahakika mmeo atakuua, atakufukuza, utetelekezwa wewe na mwanao! Kiasili mwanamke unatakiwa uwe mnyenyekevu na kuiombea familia na mme wako na si vinginevyo! Utauawa bure! Shauri yako!
 
Wenye akili tunajua na ushahidi tunao ya kwamba ili udumu na mwanamke katika mahusiano lazima uwe dikiteta au jasusi kwake (hata wao ndivyo wanavyotaka) lakini ukijifanya lofa na kujifanya eti unampenda saana na kumzimia saana lazima akunyee kichwani. Familia nyingi zimeanguka sababu kubwa ni kwa wanaume kutotambua kanuni hii. Hii ni kanuni ya asili ya kukaa na mwanamke kama kanuni nyingine za asili ya kwamba ukirusha jiwe juu lazima lirudi chini.
Ebu niwape mfano katika moja ya vitabu maarufu vinavyosomwa saana yaani Biblia: Katika kitabu cha "Esta 1:10-12"; kulikuwepo mfalme anaitwa Ahasuero (mtoto wa mfalme Darius mkuu) katika ufalme wa Uajemi (Iran ya sasa hivi). Huyu mfalme alikuwa na nguvu sana aliweza kutawala na kuangusha ngome za kifalme kama Ugiriki na kuziangusha. Sasa Bwana, ikawa siku moja aliwafanyia karamu (sherehe) majemadari na watawala wa majimbo yake; wakala na kunywa na kufurahi. Akatuma waangalizi wakuu saba (7) waliokuwa wanaangalia makazi ya wake na masuria (vimada) wa mfalme waende na kumuita huyo Malikia (Queen) wa mfalme ili awaonyeshe waalikwa jinsi alivyokuwa mrembo na mzuri. Kumbuka huyu ni mfalme mkuu kakaa meza kuu na kazungukwa na wakuu wa majimbo na majemedari wakuu wa vita. Na kipindi hicho sherehe kubwa kama hizo usingeweza kumuona mwanamke, walikuwa wanaume watupu. Hivyo basi, mfalme alikuwa amemuheshimisha saana Malikia na kumpelekea ujumbe wa wanaume saba (7) waende kumuita. Bila shaka walienda wamepanda magari yaliyokokotwa na farasi maridadi kwa kipindi kile. Hawa wake za mfalme walikuwa matawi ya juu kiasi kwamba wanaume na walinzi wao walikuwa wanahasiwa (castrated) ili pasiwepo uwezekana wa kuwaingilia. Sasa cha kushangaza huyo Malikia baada ya kuletewa ujumbe alijibu na kusema "rudi zenu, mwambie mfalme kuwa siji". Kumbuka Malikia ki_protokali "akisema, kasema" hivyo huo (hao) wanaume (wajumbe) wakageuza na kwenda kumpa habari mfalme. Kilichoendelea utamalizia. Hila point yangu ni kuwa huyu mwanamke alikuwa na JEURI ya kiwango cha SGR. Sasa wanaume wa kizazi kipya kukaa kizembe na mwanamke na mambo yao ya harakati na usawa wa kijinsia ndo kunapelekea ndoa nyingi kuvunjika na mwisho wa siku ni utitiri wa Masingle mother na watoto wa mitaani. Mwanamke inabidi hasiwe na haki kabisa ndani ya nyumba. Haki yake ibaki kutimiziwa yale mambo ya msingi kama malazi, chakula, mavazi, kuzaa na kulea watoto. Katika mfumo wowote hata kama ni mbaya lakini kuna kitu kizuri ambacho wanakimudu, kwa mfano mfumo wa kiislamu wa "sharia" naukubali kwasababu unamuhadabisha mwanamke katika misingi ya kumuweka katika nafasi yake! Mimi ni muumini wa Robert Heriel Mtibeli naomba hupokee salamu zangu. Nakaribisha povu kutoka kwa wanawake vichwa maji wasiokuwa na adabu ya kuwatii waume zao! Karibu!
Mapenzi hayana kanuni wala mwalimu
 
Wenye akili tunajua na ushahidi tunao ya kwamba ili udumu na mwanamke katika mahusiano lazima uwe dikiteta au jasusi kwake (hata wao ndivyo wanavyotaka) lakini ukijifanya lofa na kujifanya eti unampenda saana na kumzimia saana lazima akunyee kichwani. Familia nyingi zimeanguka sababu kubwa ni kwa wanaume kutotambua kanuni hii. Hii ni kanuni ya asili ya kukaa na mwanamke kama kanuni nyingine za asili ya kwamba ukirusha jiwe juu lazima lirudi chini.
Ebu niwape mfano katika moja ya vitabu maarufu vinavyosomwa saana yaani Biblia: Katika kitabu cha "Esta 1:10-12"; kulikuwepo mfalme anaitwa Ahasuero (mtoto wa mfalme Darius mkuu) katika ufalme wa Uajemi (Iran ya sasa hivi). Huyu mfalme alikuwa na nguvu sana aliweza kutawala na kuangusha ngome za kifalme kama Ugiriki na kuziangusha. Sasa Bwana, ikawa siku moja aliwafanyia karamu (sherehe) majemadari na watawala wa majimbo yake; wakala na kunywa na kufurahi. Akatuma waangalizi wakuu saba (7) waliokuwa wanaangalia makazi ya wake na masuria (vimada) wa mfalme waende na kumuita huyo Malikia (Queen) wa mfalme ili awaonyeshe waalikwa jinsi alivyokuwa mrembo na mzuri. Kumbuka huyu ni mfalme mkuu kakaa meza kuu na kazungukwa na wakuu wa majimbo na majemedari wakuu wa vita. Na kipindi hicho sherehe kubwa kama hizo usingeweza kumuona mwanamke, walikuwa wanaume watupu. Hivyo basi, mfalme alikuwa amemuheshimisha saana Malikia na kumpelekea ujumbe wa wanaume saba (7) waende kumuita. Bila shaka walienda wamepanda magari yaliyokokotwa na farasi maridadi kwa kipindi kile. Hawa wake za mfalme walikuwa matawi ya juu kiasi kwamba wanaume na walinzi wao walikuwa wanahasiwa (castrated) ili pasiwepo uwezekana wa kuwaingilia. Sasa cha kushangaza huyo Malikia baada ya kuletewa ujumbe alijibu na kusema "rudi zenu, mwambie mfalme kuwa siji". Kumbuka Malikia ki_protokali "akisema, kasema" hivyo huo (hao) wanaume (wajumbe) wakageuza na kwenda kumpa habari mfalme. Kilichoendelea utamalizia. Hila point yangu ni kuwa huyu mwanamke alikuwa na JEURI ya kiwango cha SGR. Sasa wanaume wa kizazi kipya kukaa kizembe na mwanamke na mambo yao ya harakati na usawa wa kijinsia ndo kunapelekea ndoa nyingi kuvunjika na mwisho wa siku ni utitiri wa Masingle mother na watoto wa mitaani. Mwanamke inabidi hasiwe na haki kabisa ndani ya nyumba. Haki yake ibaki kutimiziwa yale mambo ya msingi kama malazi, chakula, mavazi, kuzaa na kulea watoto. Katika mfumo wowote hata kama ni mbaya lakini kuna kitu kizuri ambacho wanakimudu, kwa mfano mfumo wa kiislamu wa "sharia" naukubali kwasababu unamuhadabisha mwanamke katika misingi ya kumuweka katika nafasi yake! Mimi ni muumini wa Robert Heriel Mtibeli naomba hupokee salamu zangu. Nakaribisha povu kutoka kwa wanawake vichwa maji wasiokuwa na adabu ya kuwatii waume zao! Karibu!
Kataa ndoa, ndoa ni utapeli
 
Back
Top Bottom