Mwanamke ukimuendekeza atakupanda kichwani. Mke wa jamaa yangu kafuga msitu hataki kunyoa, eti hadi apewe laki akanyolewe kwa Wahindi

Mwanamke ukimuendekeza atakupanda kichwani. Mke wa jamaa yangu kafuga msitu hataki kunyoa, eti hadi apewe laki akanyolewe kwa Wahindi

hot-tea.gif
 
Calcium bicarbonate, also called calcium hydrogencarbonate, has the chemical formula Ca(HCO3)2. The term does not refer to a known solid compound; it exists only in aqueous solution containing calcium (Ca2+), bicarbonate (HCO−
3), and carbonate (CO2−
3) ions, together with dissolved carbon dioxide (CO2). The relative concentrations of these carbon-containing species depend on the pH; bicarbonate predominates within the range 6.3


6–10.25 in fresh water
Madini😃😃dah kitambo sana
 
Calcium bicarbonate, also called calcium hydrogencarbonate, has the chemical formula Ca(HCO3)2. The term does not refer to a known solid compound; it exists only in aqueous solution containing calcium (Ca2+), bicarbonate (HCO−
3), and carbonate (CO2−
3) ions, together with dissolved carbon dioxide (CO2). The relative concentrations of these carbon-containing species depend on the pH; bicarbonate predominates within the range 6.3


6–10.25 in fresh water
Mkuu naona unatiririka Sana Na carbon compound si useme tu huu Uzi ni ushuzi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa yangu alifumaniwa na mkewe bonge la ugomvi toka siku hiyo akiomba mzigo kwa mkewe anachajiwa pesa mke anadai mumewe alipoenda kuchepukia alikuwa anahonga hakula bure bure sasa mke nae anamtoza kala sana mke kwa nguvu ili asimlipe ila kila akila mke hatoi ushirikiano anamsusia kifo cha mende,hakuna mbuzi kagoma au kuikalia kwa juu wala viuno, kula ukimaliza funika wewe si mjanja mwisho wa siku mshkaji kalegeza anatoa pesa tena ana'bargain kabisa, ila ndoa zina mambo siku hizi [emoji23]
 
Jamaa yangu alifumaniwa na mkewe bonge la ugomvi toka siku hiyo akiomba mzigo kwa mkewe anachajiwa pesa mke anadai mumewe alipoenda kuchepukia alikuwa anahonga hakula bure bure sasa mke nae anamtoza kala sana mke kwa nguvu ili asimlipe ila kila akila mke hatoi ushirikiano anamsusia kifo cha mende,hakuna mbuzi kagoma au kuikalia kwa juu wala viuno, kula ukimaliza funika wewe si mjanja mwisho wa siku mshkaji kalegeza anatoa pesa tena ana'bargain kabisa, ila ndoa zina mambo siku hizi [emoji23]
Kwahiyo mwamba now analipia papuchi ya mke wake hahahah.hii kali aisee
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Leo rafiki yangu wa tangu tukiwa watoto alinipigia simu kwamba anataka tuangalie mpira pamoja na ana jambo ambalo anataka nimshauri, hivyo basi nitafute sehemu nzuri tulivu ili tuwe tunaangalia mpira na kuongea.

Basi nikamwelekeza sehemu jirani na nyumbani, pametulia sana. Tukawa tunaangalia Yanga wakufanya yao, ndipo akaanza kupasuka.

Mke wake ana mavuzi marefu lakini hataki kuyanyoa hadi apewe laki aende kwenye saluni gani huko Upanga ya Wahindi ndio huwa wananyolewa.

Nikapigwa na butwaa, yaani uvuzi hadi saluni? Tena kunyolewa kwa laki?

Akaniambia mara kwa mara mke wake huwa anajigharamikia kwa huduma hiyo, ila sasa kahamishwa kitengo kazini hamna hela ya kuchezea.

Jamaa yangu ni mwalimu wa shule ya msingi serikalini, mshahara mdogo.

Basi sasa jamaa unyumba hapati kwani anakinyaa sana kwenye vuzi. Na mķe hataki anyolewe na mumewe
Bora tu bandari zichukuliwe,
 
Back
Top Bottom