Mwanamke ukimuendekeza atakupanda kichwani. Mke wa jamaa yangu kafuga msitu hataki kunyoa, eti hadi apewe laki akanyolewe kwa Wahindi

Mwanamke ukimuendekeza atakupanda kichwani. Mke wa jamaa yangu kafuga msitu hataki kunyoa, eti hadi apewe laki akanyolewe kwa Wahindi

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Leo rafiki yangu wa tangu tukiwa watoto alinipigia simu kwamba anataka tuangalie mpira pamoja na ana jambo ambalo anataka nimshauri, hivyo basi nitafute sehemu nzuri tulivu ili tuwe tunaangalia mpira na kuongea.

Basi nikamwelekeza sehemu jirani na nyumbani, pametulia sana. Tukawa tunaangalia Yanga wakufanya yao, ndipo akaanza kupasuka.

Mke wake ana mavuzi marefu lakini hataki kuyanyoa hadi apewe laki aende kwenye saluni gani huko Upanga ya Wahindi ndio huwa wananyolewa.

Nikapigwa na butwaa, yaani uvuzi hadi saluni? Tena kunyolewa kwa laki?

Akaniambia mara kwa mara mke wake huwa anajigharamikia kwa huduma hiyo, ila sasa kahamishwa kitengo kazini hamna hela ya kuchezea.

Jamaa yangu ni mwalimu wa shule ya msingi serikalini, mshahara mdogo.

Basi sasa jamaa unyumba hapati kwani anakinyaa sana kwenye vuzi. Na mķe hataki anyolewe na mumewe
Anayemnyoa kwa wahindi ni mwanamke au mwanaume? Pia ulimshauri vipi?
 
Mwambie amnyandue hivyo hivyo, mkewe akiona zinamkera kwa kuzama huko pamoja na mjulux atazichomoa mwenyewe.
 
Huyo jamaa yako na wewe wote ni mapundamilia. Anakusimuliaje mambo kama hayo ya ndani kabisa? Na wewe ulivyokuwa taahira umekuja kuandika humu. Matoto ya siku hizi mapumbavu sana. Ndo maana ndoa hazidumu
Matoto ya treni 😃😃😃
 
Nlishaleta bandiko humu nadhani mods waliliondoa nikiuliza hili.
Manzi yangu alinambia kabisa hizo saluni za kunyoa vuzi zipo,na nyingine wahudumu ni wanaume,nkamind kichizi ila akasema huwaga ni mashoga...what the fuvk yaani huwezi amini hamu ya nyapu ilikata mwezi mzima.
 
Back
Top Bottom