Mwanamke, Ukipata fursa usiiache kisa mwanaume uliyenaye

Ushauri wako unapoteza. Huwezi kutoa ushauri wa jumla jumla namna hiyo kwa situation za watu wawili. Wiki iliyopita kuna dada mmoja wa kizungu ameacha kazi nzuri kweli kweli, na yenye mshahara mzuri. Alikuwa anafanya ubalozini. Nilipomuuliza kisa akaniambia wamefanya majadiliano na mumewe wakakubalina awe anabaki nyumbani kuangalia watoto! Wewe ushauri wako umeutoa huku upeo wako wa kuona mambo ukiwa umefungiwa ndani ya box!
 
Wanaume tumebaki wachache sana na kila siku tunapungua..ila fursa ni nyingi mno nakila siku zinatokea mpya ..sasa wanawake shauri yenu mtakuja kulia sana mkiacha mwanaume kisa fursa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…