Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Hoja ipi mwanamke kufanya kazi full time na kuondoka nyumbaniWatabisha,lakini una Hoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ipi mwanamke kufanya kazi full time na kuondoka nyumbaniWatabisha,lakini una Hoja!
Haswaaa,asipuuziwe!Na anatakiwa asikilizwe
Hoja Ni wanawake wajifunze kujiweka kwanza Kama ambavyo wanaume hujiweka kwanzaHoja ipi mwanamke kufanya kazi full time na kuondoka nyumbani
Mwanamke akipata Pesa hata Mume hamtaki. Anaona ni heri Aishi peke yake. Hivyo ukae ujue yupo na wewe sababu tu Hana pesa. Wewe ukipata pesa unafikiria jinsi ya kumpendezesha kumpa furaha na kumtoa out.Shida ya Wanawake Ni akianza kushika pesa anajiona maisha ameyapatia full kujishaua na kuvimba.
Tatizo ni Umasikini Kaka!!Unapotosha Jamii ndoa haikuletwa Ili watu waishi mbali. Angalia ndoa nyingi za wenza wanaoishi mbali zilivyosambaratika.
Katika dunia hii ya sasa iliojaa wasimbe inafurahisha kuona wanawake wachache mmebakia!Ila mwanamke!! Wanaume ni wachache, choose well btn fursa na mume.
Beki tatu huyo!!Mwanamke wa ni wa kukaa ndani tu.
Tatizo ni Umasikini Kaka!!Wanaume kwenu mmetufanya fursa?
Badala ya wenza wa kutufariji kwenye shida na Raha??
Siku hizi Sisi ni fursa??
Anashika mimba faster, dada wa kazi wamekuwa bora kuliko wake..Beki tatu huyo!!
Ila mwanamke!! Wanaume ni wachache, choose well btn fursa na mume.
Lengo la wewe mwanamke kujiweka kwanza ni nini??Hoja Ni wanawake wajifunze kujiweka kwanza Kama ambavyo wanaume hujiweka kwanza
Hakuna mwanaume anayetaka kuoa mwanamke anayejiweka kwanza, mwanamke anayejiweka kwanza Hana tofauti na mwanaume na ni liability katika ndoa na malezi ya watoto na sio assets.Hoja Ni wanawake wajifunze kujiweka kwanza Kama ambavyo wanaume hujiweka kwanza
AKA WASIMBE...Nasubir comment za single mother na waliovurugwa na mahusiano
Kukosa furaha duniani Ni matokeo tu, Kuna walioolewa wako na huzuni kibao tunaona wanahangaika na talaka na migogoro, kuolewa sio chanzo Cha furaha,furaha inatoka within a person,so usichanganye Mambo hapa,Sio kila aliyeolewa ana furaha na sio kila asiyeolewa ana huzuni.....haya mambo ni zigzag na matokeo ya muda, na mazingiraHakuna mwanaume anayetaka kuoa mwanamke anayejiweka kwanza, mwanamke anayejiweka kwanza Hana tofauti na mwanaume na ni liability katika ndoa na malezi ya watoto na sio assets.
Wakina Wema Sepetu, Fatma Karume, Maria Sarungi walikuwa wanajiweka kwanza, nahisi mnaona maisha Yao yalivyo, hasahasa Fatma na Sarungi, hawana furaha ya kweli maana walijaribu kuvaa viatu vya wanaume na wamewakosa wanaume wa kumaliza nao maisha.
Mwanaume hawezi kukubali kuoa mwanaume mwenzake, ni dhambi hata mbele za Mungu.
Feminist kama feministYan mtu unajiona una miakili mingi ya maisha afu aishie tu kulea tu watoto ndani ya nyumba??, Hapana, Hayo Ni matumizi mabaya ya akili ya wanawake. Eti stay home I will provide everything, no jamani.
Ndo maana akee.Hii code.
Mwanamke ukipata danga we tembea nalo tu ata kama una kijamaa chako.