Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine watu ulazimishwa kuwa mbali bila kutaka,mfano Kazi, utafutaji,au kukimbia ugomviUnapotosha Jamii ndoa haikuletwa Ili watu waishi mbali. Angalia ndoa nyingi za wenza wanaoishi mbali zilivyosambaratika.
KabisaNAKAZIA 🔨
Mwanamke nae ni samaniVya kukaa ndani ni samani sio mwanamke
SawaNdio uwezo wako wa fikra ulipoishia, pole
Kuna tofauti ya kujiona una miakili mingi, na kuwa na miakili mingi.Yan mtu unajiona una miakili mingi ya maisha afu aishie tu kulea tu watoto ndani ya nyumba??, Hapana, Hayo Ni matumizi mabaya ya akili ya wanawake. Eti stay home I will provide everything, no jamani.
Yah ni kweli inawazisha sanaNimeshangaa ukahaba unahalalishwa mdogo mdogo...
Kama mwanamke kila mwanaume anamuona fursa sasa ana tofautiana nini na kahaba??
Huo muda wa kutafuta fursa hadi aipate ikipatikana unashangaa miaka 30 hii hapa uzee ule pale mtaa wa tatu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemeana na aina ya mwanaume uliye naye, wengine hawataki wake zao wajishughulishe, wanataka wake zao wakae nyumbani tu kwa hofu ya kusalitiwa. Ni bora wanawake watafuta fursa kwanza halafu waingie kwenye ndoa tayari wanazo hizo fursa
Hii formula wanapingana nayo ila inawanyoosha sana. Unaona wadada kama fatma karume na yule Maria sarungi, wamehangaika na maisha wanakuja stuka umri umewaacha wanajifanya wanaharakati ila ukweli ni wanawazimu wanapambana na stress vichwani mwao.Umeolewa na mume hujaolewa na kazi na mume wako ana wajibu wa kukuhudumia mpaka kifo wakati wewe una wajibu wa kuwa msaidizi wake mpaka kifo sasa ukichagua kazi wajibu wako utatekeleza saa ngapi?
Hapa ndipo mnapokosea, kuexaggerate (kukuza) hofu zenu sababu ya kujiambia na kujiaminisha mambo ambayo kiuhalisia kutokea ni hadi mazingira fulani fulani yatokee.Yan mtu unajiona una miakili mingi ya maisha afu aishie tu kulea tu watoto ndani ya nyumba??, Hapana, Hayo Ni matumizi mabaya ya akili ya wanawake. Eti stay home I will provide everything, no jamani.
Dah me pia nikajua we ni mdada mkuu. Tatizo ni haya majina na picha mnaweka. Sasa mwanaume tangu lini ukaweka profile picture ya mauwa. Ungeweka hata miba au michongoma basi tungeshtuka kuwa ni kidume.Dada? Nani kakwambia mimi ni dada?
Dah me pia nikajua we ni mdada mkuu. Tatizo ni haya majina na picha mnaweka. Sasa mwanaume tangu lini ukaweka profile picture ya mauwa. Ungeweka hata miba au michongoma basi tungeshtuka kuwa ni kidume.
Hili nalo likatazamwe mkuuHapa ndipo mnapokosea, kuexaggerate (kukuza) hofu zenu sababu ya kujiambia na kujiaminisha mambo ambayo kiuhalisia kutokea ni hadi mazingira fulani fulani yatokee.
Wewe kama mwanamke kukutana na mwanaume wa namna hiyo ni labda ukutane na mtu ambaye akili zake si sawa ana abu na miili yenu wala heshima kwa wanaume zenu.
Nadharia sio uhalisia, wanaolizwa na wanaume ni wengi sana mtaaniWewe utakuwa ulidate na wahuni wakakufanya vibaya. Anyways, kama una stress zako hebu nenda kaonane na wataalamu wa Therapy wakutoe katika hayo maumivu na sonona ya mahusiano ili uweze kufikiria sawa sawa.
Kwa kifupi, wanaume huwa tunahangaika na kutafuta ili tunachopata tukale na familia zetu na kujenga familia zetu na maisha yaende.