Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mwanaume wangu niwewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume wangu niwewe
Ahsante mwanamke wangu...Mwanaume wangu niwewe
Mkuu kwani walitakiwa wanifanye niniWanaume wamekufanya nini dada?
Maniner mbona unaomba poo mapemaKijana punguza shobo
Sasa umeandika nini hapo cha kufanya nijadiliane na wewe zaidi ya kuleta shobo tu, acha matusi andika hoja tuanze mjadala uone kama nitaomba poo, nonsenseManiner mbona unaomba poo mapema
Foolish niandike hoja kwa hoja gani uliyoisemaSasa umeandika nini hapo cha kufanya nijadiliane na wewe zaidi ya kuleta shobo tu, acha matusi andika hoja tuanze mjadala uone kama nitaomba poo, nonsense
Basi tunarudi pale pale punguza shobo, wewe ndio umeomba poo mapema, stupid nincompoopFoolish niandike hoja kwa hoja gani uliyoisema
Mamayer unaleta shobo kwa dume ? angalia utakosa rinder kyumer mmoja weweBasi tunarudi pale pale punguza shobo, wewe ndio umeomba poo mapema, stupid nincompoop
Kati ya mimi na wewe nani kaanza kumshobokea mwenzie, yani wewe ndio umeanza kuniquote pumba halafu unasema mimi ndio nakushobokea, hizo stress zako kazimalizie kwa mabwana zako acha shobo na mimi tutusa weweMamayer unaleta shobo kwa dume ? angalia utakosa rinder kyumer mmoja wewe
Mbona wewe kigeugeu, huu ni mwaka wa Tano meseji yangu hujaijibu halafu unasema inawezekana, be my guestNamba 3 na 4 kuna exemption(s)
Msukule wa Mahondaw
Wanaume wanajua automatically, nyie ndo mnapaswa kukumbushwa.Waambie na mume wa mtu hatakiwi kufanya yapi?
Ama huku ni exemptions kote.
Nimtendeje Mungu dhambi kubwa namna hii? Ninaweza kumficha mke wangu wala asijue kama nilizini, na zamani hizo kabla sijamjua Mungu nilizini sana na wanawake wengi, wala hakugundua, unaweza kumficha mke wako au mume wako, ila huwezi kumficha Mungu, anakuona tangu unatongozana hadi unaenda kufanya uzinzi, anakuona, anakupenda na hataki ufanye uzinzi kwasababu anajua madhara ya uzinzi. Mungu anataka ushirika na sisi, tuishi maisha matakatifu, tumwabudu yeye, tufanye kazi yake ili na yeye afurahie kuwa na sisi kama watoto wake, anapoona tunakengeuka anakwazika na anakasirika. acheni dhambi, hata leo ukiona wazo la uzinzi linakuja kimbia, achana nalo.