Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂😂Umeanza kuwa mswahili sasa😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Umeanza kuwa mswahili sasa😁
Hivi hapo ulipo kuna mvua au jua?.amekusikia atakuja mwenyewe 😂😂
Kwann muombe hamna cha kuomba hapo ni kushirikiana tu kujenga lifeHitimisho watuambie tuwaombe nn [emoji23][emoji23] badala ya Hela maana wamesema hawataki [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa mbona wewe ndie unachukulia comments zangu too personal, where is your sense of humor?! Hebu kuwa mkubwa basi kidogo. Don't be too sensitive.em fatilia comments zangu kuanzia ya kwanza na uone,,,halafu mbona unapenda kuchukulia mambo serious kiasi hicho,,una shida mahali wewe sio bure [emoji849][emoji849][emoji849]
Sawa sawa uko sahihiKwann muombe hamna cha kuomba hapo ni kushirikiana tu kujenga life
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
aisee hamna jua wala mvua,,kuna mawingu tu na kibaridi flani hivi 😂😂Hivi hapo ulipo kuna mvua au jua?.
Ukinijibu nitakwambia kitu
nonsense 🚮🚮[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa mbona wewe ndie unachukulia comments zangu too personal, where is your sense of humor?! Hebu kuwa mkubwa basi kidogo. Don't be too sensitive.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hebu nitajie herufi ya kwanza ya jina la mkoa rafikiaisee hamna jua wala mvua,,kuna mawingu tu na kibaridi flani hivi 😂😂
Maana shida wanatuektia kuwa wanataka tuwe na mahusiano ya mapenzi ya kweli halafu kumbe ni trick wanataka waturubuni ili wale pesa zetu. Nani ataruhusu huo ukuda.Mie naona problem hapa ni wanawake kutokuweka dau lao wazi....nyie wekeni tuu dau lenu itapunguza malalamiko.
Jamani wanaume tunawahitaji wanawake na wanawake mnatuhitaji sie wanaume. Kwa nini malumbano turahisishia e maisha siio kukomoana.
Umakondeni?
Be honest to me.that's it😉
jamani,, go straight to your point my friend 😉Be honest to me.
Umetembea mikoa mingapi
Mtusikilize tutawaelekeza.[emoji23][emoji23]Ila wanaume sijui mnataka nn tukitafuta Hela tuwe na Hela zetu mnalalamika tukiwaomba mnalalamika [emoji23][emoji23]
oooh nice😍Nataka nikupe offer
swali gani sijakujibu🤔Unaogopa kujibu hapa?
Basi jibu pm
Nililokuuliza...mikoa mingapiswali gani sijakujibu🤔
Kuna pachage unapewa ya kujikimu,hizo ni international standard brother 😅😅😅Ukiingia kazini unaanza kazi kwanza au unaanza mshahara...?