Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

MREJESHO WA JOGOO KUSHINDWA KUPANDA MLIMA DAY1,2
Habarini za mida,
Kama mjuavyo baba enu mdogo nilikua na kipengere kwene hii ndoa.

Sasa baada ya kushauriwa humu ndani ilibidi nianze kujitathmini.
Nikaona ni “clear mind” kwa kutoa ubatizo wa “Maziwa na Asali”
Ujue mabachela huwa tuna mchezo wa kubatiza , Kwaiyo kitendo cha mm kuoa bila kutoa kafala ya ubatizo wa kwa heri kilichangia kupoteza umeme wangu.

Basi nikajipa muda na kufanya ubatizo huo wa kwa heri.
“Paaa Bye Bye Alamba Alolo Papeche”

Nikarudi zangu nikala nikawa na cheki tv.
Wifi yenu yeye akaenda kulala mapema eti kajifanya kachoka.

Lakini hakua amechoka, fika najua Genye zilikua zinamsumbua ujue mwanamke mwene Genye huwa mchovu na asiye ona raha za vitu vingine kama tv au story ,, Anapgaje story na joto liko centigrade 100 (100c).

Nikawa nawaza naendaje kulala…. Wakati nikipanda tu kitandani wifi yenu anaanza kunitomasa na mm mzigo haurudishi umeme.Nikajitazamisha tv nimejichezesha simu aisee “Mahanithi wana kazi” Nimeelewa ukubwa wa shida yao.

Basi saa 6 nikasema ebu nikalale liwalo na liwe.Nikaingia nikakuta mtoto ukanga mmoja Lol….. Afu kajibinua fulani ujue shemeji yenu ni mwembamba hafu anakiuno dondola na mwili wote uko huku chini.Nikapanda kitandani na kiboxa changu cha elf5 kupanda tu nikapokelewa na mikono iliyotanda mwilini mwangu kama pweza mwili mzima.

Asee. Nikajituliza bila kujibu mashambulizi maana mechi za kutiana aibu mimi huwa sipendi.

Dakika 20 baadae nikasema ebu niwashe radio call nione kama kuna signals!
Lahaulaaahh weak signal zikaanza kudaka mara paaa line hiyo Aiseee!!

Nilimgaragaza…..nimembinua binua nimemnyooshaaa nimemkunjaaaa

Wifi yenu yuko ana tweta tu kama mtu aliye nusu kaputi nyieeee nikasema we hujanijua

Nikamuinua nikambinua nikambonyeza nikamkunjaaa nikamkunjuaaa nikamviringa Kama mjuavyo baba enu mdogo kimo changu kama wale watu wa kongo ila sheji yenu alivo mlefu sasa…….

sasa na utwiga wa wifi yenu basi nimemkunja kama kata ya maji, nikambatiza kwa ubatizo mzito Akaguna akaguna tena akalia……

Yaan nahisi hadi wifi yake chumba jiran kasikia.Nikamshusha kitandani
wee ila huyu mwanamke jeuri akakataa mechi ya vumbi Tukarudi kwa bedi .

Baada ya ubatizo n half time kukapumzika.Kanifuta futa jasho hapo joto nililokua naliona kama nimewekwa kwene oven.

Nikasikia mtu Majiii majiii naomba majiii

Nikaenda kumchukulia maji akanywa. Baada ya hapo tukalala baada ya saa moja Tukarudia tena hapo alikua yupo chapa chapa nikamuwekaaa kilainiii.
Hapo nikampa mapigo madogo madogo ya mfululizo kama themanini hivi.

Kituo wapiiiiiii Kwa mkkojani Basi tukafika nikasema leo imeisha. Hapo akalala kama faru alopigwa risasi kachoka hana hamu hata ya kunishika wala kujifunika.

Kuna mtu humu ali comment kua wakati unakamua mwanamke
“Mgonge kma unaua usimhurumie Ndo raha yao.” huu ushauri niliubeba na nimeufanyia kazi

Kunywa pepsi big huko uliko maana jana wifi yenu nusu atapike kizazi.
 

Attachments

  • F0C1522E-FD78-429F-B38B-B9FC997042C2.jpeg
    F0C1522E-FD78-429F-B38B-B9FC997042C2.jpeg
    28.9 KB · Views: 6
Kwa vile umepitia mlango wa kurogwa basi ni hakuna msaada utapata!
Ni ngumu sana kumsaidia mshirikina akaelewa, maana vinaendana na kutokuwa na mfumo thabiti wa kufikiri.
...he who controls the narrative controls the people!
 
Kwa vile umepitia mlango wa kurogwa basi ni hakuna msaada utapata!
Ni ngumu sana kumsaidia mshirikina akaelewa, maana vinaendana na kutokuwa na mfumo thabiti wa kufikiri.
...he who controls the narrative controls the people!
Mkuu,,,

Kama una amini mungu yupo kwann usiamini uchawi upo( shetani)??
Vitu vipo babu
 
Wakuu, nimeoa siyo kwa ndoa au harusi. Jana nimerudi na mke, kwangu geto hapa Dar cha ajabu nimeshindwa kupiga show. Yaani, juzi usiku mzima tumelala nimeshindwa kupiga show. Jana nayo tena mambo yamegoma sijui nini.

Sina nguvu za kiume. Huyu manzi nilimla kama mara mbili kuna siku show mpaka ajakataa mwenyewe maana usiku hatukulala ni kitombo mwanzo mwisho. Hapo tulikuwa tunaibiana. Sasa nilivyoamua kurasimisha mambo ndo kitu imelala yoyooooo.

Hapa nawaza au ndugu zangu wameniroga. Maana hili swala nilishirikisha ndugu michango ya maali kama yote! Kwetu uchawi ni kama kawa (sina uhakika ila kijijini ndo mambo zao). Yaani nilale na mwanamke nishindwe kumla hadi asubuhi siyo mimi. Nimepata shaka sana. Kwa wanawake ukiolewa afu kusiwe na show utavumilia muda gani kabla hujafunga virago? Kwa mliooa hii ikoje? Nipeni ushauri.
Sio wewe kivipi tena wakati ni wewe unatuambia?!!
 
APPLE iPHONE 6 PLUS 220,000

BRAND NEW & CLEAN FROM CANADA

SPECIFICATIONS

Battery Health - 100%
Fingerprint Sensor - Working


RAM - 1GB
ROM/Internal - 64GB
Screen Size - 5.5 inches
Operating System - iOS
Color - Gold
Display Type - IPS LCD
Resolution - 1080 x 1920
SIM - Nano SIM
Main Camera - 8MP f/2.2
Selfie Camera - 2MP f/2.2
Battery - 3000
Bluetooth - 4.0
USB 2.0 & NFC


0783060577
Haina kasoro yoyote kwa 220,000 tu
 
Back
Top Bottom