Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

Tatizo la Men kufikilia tupo sawa kisia na mwanamke wanawake sex sio kipao mbele hisia zao mda mwingi zipo offline paka ziwe activated..mwanamke anaweza kaa hata a year without sex na aside na tatizo lolote..sex kwao ni ishu ndogo sana na rahisi kuipata
 
Eeeh apo umefungua akili
 
kwa binadamu ni tofauti

kwa biandamu ni sehemu ya kujifurahisha na kupata raha!
Biblia inasema msinyimane?
unafikiri ilimaanisha msinyimane kutafuta watoto!

Hiyo fact ya kusema tendo la ndoa ni kutafuta watoto ipo kwa wanyama isipokua binadamu
 
Huyo ndo mke sasa
 
Inawezakana inawezakana bado naogopana, au unakula vya kula visivyo kuwa na virutubisho, au una choka Sana. Jaribu kupumzika vya kutosha na kura vizuri. Halafu usiwe na papara . Na kabla ya tendo fanya maongezi ya kimapezi na kugusana gusana.
 
Inawezakana inawezakana bado naogopana, au unakula vya kula visivyo kuwa na virutubisho, au una choka Sana. Jaribu kupumzika vya kutosha na kura vizuri. Halafu usiwe na papara . Na kabla ya tendo fanya maongezi ya kimapezi na kugusana gusana.
Nadhani umalaya unanisumbua maana mechi za ugenini napiga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…