Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Utakuwa na lako jambo sio bure...Kwani tukikwichikwichi kwako nini kitaharibika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
Kwani 'mgeni wako' akishaingia ndani ya nyumba ni nani atajua kuwa mnafanya nini? Hata kama mko mnaangalia movie, au mnakula maembe, majirani watajua tu kuwa mko mnafanya matusi... Kuogopa huko usikute wewe unapiga makelele kama Fiat bovu so unajishtukia ili majirani wasijue kuwa unapewa tunda.Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
Mkuu, umekuwa bitter sana kwa wanaume lately. Shida nini?Ujinga huo hautakiwi hata kidogo,wanaume washenz sana.
Hujawahi kua nyumba ndogo wewe, yaani nikuchukulie nyumba sehemu alafu nikitaka kukutafuna niende Hotel?Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
Halafu huku kwingine utaenda kulipia wewe? Mbona nyie mnaonaga pesa za mwanaume ni za kuchezea tu?? why?? Kodi alipe yeye, halafu umwambie mkafanyie kwingine, wapi? kichakani au?Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
macho yakoSikuiz si kila super women ni mwanamke unawezaje ukawa strong woman na ni mwanaume (hamorapa)
kweli sijawahi na sitaki kuwahi kuwa nyumba ndogoHujawahi kua nyumba ndogo wewe, yaani nikuchukulie nyumba sehemu alafu nikitaka kukutafuna niende Hotel?
asanteUna busara sana wewe. hata hapo kwako watakuheshimu ukishikilia msimamo huo. Hongera sana
kweli sijawahi na sitaki kuwahi kuwa nyumba ndogo
Ok nimekupata ila hiyo statement ya pili, mtu anayekulipia kila kitu na hauishi naye na akitaka mzigo inabidi akalipie Hotel kweli???........ Hata kama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
kweliOk nimekupata ila hiyo statement ya pili, mtu anayekulipia kila kitu na hauishi naye na akitaka mzigo inabidi akalipie Hotel kweli???
nini tofauti ya kusex kwako na kwake? kwako radha inapungua au heshima inapungua..? kama ni kwako na unaishi mwenyewe haupo na ndugu sioni tatizoKuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
hee asa ukishampiga mtaenjoy vp hilo tendo
profesajay alimaanisha kumpiga vibao....au alimaanisha kumpiga pip..e ya kutoshaHizo zinaitwa show Za kibabe#profesajay