Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Utakuwa na lako jambo sio bure...Kwani tukikwichikwichi kwako nini kitaharibika
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu

Una busara sana wewe. hata hapo kwako watakuheshimu ukishikilia msimamo huo. Hongera sana
 
Mimi hata kissing was prohibited, yaani this woman dah, nikienda kwake atapika msosi wa nguvu, tutakula na kupiga stories, lakini eti nijaribu kumgusa hata paja tu weeeee!

Kwa hiyo mimi nakuelewa, some women don't like it. Wanahisi wanajirahisisha zaidi ya "wanavyojirahisisha" teh!!
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Kwani 'mgeni wako' akishaingia ndani ya nyumba ni nani atajua kuwa mnafanya nini? Hata kama mko mnaangalia movie, au mnakula maembe, majirani watajua tu kuwa mko mnafanya matusi... Kuogopa huko usikute wewe unapiga makelele kama Fiat bovu so unajishtukia ili majirani wasijue kuwa unapewa tunda.
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Hujawahi kua nyumba ndogo wewe, yaani nikuchukulie nyumba sehemu alafu nikitaka kukutafuna niende Hotel?
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Halafu huku kwingine utaenda kulipia wewe? Mbona nyie mnaonaga pesa za mwanaume ni za kuchezea tu?? why?? Kodi alipe yeye, halafu umwambie mkafanyie kwingine, wapi? kichakani au?
 
kama sijalipia kodi ya nyumba kwa kweli mimi kama mwanaume sintajisikia kulala au kusex kwa mwanamke..Manake unaweza kujiachia kumbe mwenye analipa akafanya suprise visit..sasa vyenye ataanzisha fujo hapo itabidi Fire ndo waje kuizima .. Lakini kama nakulipia chumba mimi hilo si suala la kuuliza... ya nini nilipe mara mbili mbili..sasa kila nikitaka eti nitenge bajeti ya 30,000 (standard Lodge) ??? kiwango kikubwa sana cha kujitakia umasikini... nimelipa maana yake hapo ni kwangu pia najiachia...Over and Out
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
nini tofauti ya kusex kwako na kwake? kwako radha inapungua au heshima inapungua..? kama ni kwako na unaishi mwenyewe haupo na ndugu sioni tatizo
 
Hizo zinaitwa show Za kibabe#profesajay
profesajay alimaanisha kumpiga vibao....au alimaanisha kumpiga pip..e ya kutosha
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hiyo ni biashara kichaa aisee,

Yaani nilipe kodi nikununulie kitanda nikitaka k tena niandae bajet nyingine!!!

Aisee hiyo haipo kabisa tena nitainalii mpaka iote sugu na nitatoka siku yoyote na mda wowote nitakaojisikia kutoka.
 
Back
Top Bottom