Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Unaitazamaje sex?

Lakini pia hapa kuna suala la umri....
 
Wee bado hujapata mwanaume bado yani huyo unae tu kutimiza wajibu kuwa una bwana ila utakuja upate mwanaume ambaye utatamani ufanye nae popote hadi stendi ya mabasi!!tatizo lako wengi watakuwa wameshalijua ila polepole utakutana na bwana pepsi
 
Endelea kukariri maisha...mimi sijaoa ila namshukuru Mungu kila girlfriend ninayekua nae si wakukariri maisha..namsaidia anayeweza kusaidia nakujibeba. Huo ndo usawa. Sio single sided...binti anayeniomba hela tu hata kama ninayo ama sinayo she us as good as a trash bin to me..mbaya mademu wakukariri maisha ka ninyi ndo wale ambao mna ela lakini utasikia beb nipe hela yakusuka!! ..si una ela zako zangu tu za nini!?
kumpa mwanaume hela eti mnasaidiana ni kujipendekeza tu. MUME ndo ninaweza kumsaidia huku nikijua ni mume wangu
 
Endelea kukariri maisha...mimi sijaoa ila namshukuru Mungu kila girlfriend ninayekua nae si wakukariri maisha..namsaidia anayeweza kusaidia nakujibeba. Huo ndo usawa. Sio single sided...binti anayeniomba hela tu hata kama ninayo ama sinayo she us as good as a trash bin to me..mbaya mademu wakukariri maisha ka ninyi ndo wale ambao mna ela lakini utasikia beb nipe hela yakusuka!! ..si una ela zako zangu tu za nini!?
mimi sio wa kariri. ila ndo hivyo
 
Sasa kama unalipiwa kila kitu hapo kwako au kwake?
 
Akiwa anakukuna vizuri utamwita tu akugegedee geto kwako..........................
 
Hata kama chumba ni chako... Lazima nikufanyie hapo hapo..

Na huchomoi... sembuse kukupangia kabisa
 
Kwani hapo kwako ni kanisani au msikitini labda useme nisehemu takatifu ?
 
Ndo Maana Unalalamika Unasalitiwa Unamisimamo ya Kiji...... Eti Nini
 
unafurahisha jamvi tuuu.... hakuna mwanaume wa hivyo kabisa..........
 
Back
Top Bottom