Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Shukuru umepata mke anayekuelewa mkuu, hata hayo unayomfanyia anapenda na kuonesha shukurani kwa kuwa sio mbinafsi ila angekuwa msanii ungejuta! Nahisi huyo mwanamke aliwahi kuwa best yako sana kabla hujamuoa
 
Kazi sana, hapo ndipo kichwa kinauma, ndoa nyingi siyo mapenzi ya dhati, hasa baada ya kupata watoto, yale mapenzi ya ujana yanaondoka na ukweli ndipo unakuja, kuwa mko pamoja kutimiza yale ya kupata kizazi kama wazazi wenu, ukitaka mapenzi ya kweli, msifunge ndoa, mikichokana kila mtu na time yake, ila mkifunga ndoa na kupata watoto, ule moto wa zamani lazima upotee tu..
Inaitwa utu uzima, busara, majukumu...
 
Hata wanaume wenye good women wanatake advantage tu ya wake zao. Binadamu sijui tuna shida gani.
 
Bado mwanamke hajui anataka nini
Amini mkuu
 
Ma dear, tunaishi mara moja katika dunia hii.Kama hakupi amani achana nae katafute wa moyo wako. Nadhani kuna wengi wanampenda hila wewe ndo unawashikia shuka jekundu. Muache na yeye atafute yule Mungu amempangia.
Acha kumshauri mwenzio ujinga wewe
 
Hii ndio shida ya wanawake wengi sana hapa duniani, na hili no gonjwa, wanaume mpate picha kamili, kwani hii ndio hali halisi ya maisha tunayoishi na hawa viumbe wa ajabu, kwa hali hii unadhani mwanamke wa hivi akikutana na njemba njemba nyingine huko nje akaitamani yeye atashindwa kujiachia ?, yaani unakaa na mwanamke unajidanganya eti ni mkeo kumbe yeye hana kabisa hata hisia na wewe, kumbe hata pale kanisani wanaposemaga "ndio nimekubali" huwa ni usanii tu
 
Wewe nawe sasa ulimkubalia nini? Siunge mkataa? Mpaka mefunga ndoa mezaa na watoto badotu humpendi? acha kutania haya maisha, tulia nahuyo mume wako leeni watoto wenu pamoja huyo mdudu anae kusumbuwa na mkemea kwajina la yesu TOKA PEPO MCHAFU


 
Nimeshaanza boss..sasa hivi nimehamia sehemu nyingine na sina mpango wa kumjulisha ninapokaa
 
Nimeshaanza boss..sasa hivi nimehamia sehemu nyingine na sina mpango wa kumjulisha ninapokaa
 
'She is a big liar' you don't have to accuse me or judge me. If you dont have anything to help just brush it off.
Ndugu hunifahamu wala sikufahamu. Nidanganye ili iwaje? Nini faida ya kudanganya hapa?
Nimesema na nimejiongelea binafsi kile ninapitia. Nina makosa yangu nimefanya ninaloangalia ni kuyasahihisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…