Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Kuna sehemu ya kuwa free, ila kwa case ya mleta mada ukiwa free kama unasema jiandae kusaza meno siku za mbeleni.
Napokwambia uwe free namaanisha acha hisia za kawaida za kibinadamu zikuongoze, ikitokea amekuudhi chukia, lia pigana, ongea whatever. Ikitokea amekufurahisha mkumbatie,mpe zawadi, muimbie fanya chochote unachojiskia. I mean ishi kawaida ila usipange muda huu nitafanya hivi au vile au namna gani .sijui kama unanielewa.
 
You are in seconds away from disaster of your own mind and hands!
 

Lakini Daby akikuhug unakaa hapo muda mrefu![emoji4][emoji4][emoji4]
 
Amini! amin! Nakuambia mahusiano ambayo yameanzishwa na mwanamke (mwanamke kuanza kuvutiwa na mwanamme/mwanamke kujitongozesha kwa mwanamme) yanadumu 90% kuliko Yale ya kawaida tuliyozoea ya sisi wanaume kuwatongoza wao!
So, Mimi nasuburiaga wajilete wao..na sijawahi juta katika mbinu yangu hii
 
Dawa ndogo tu, kafanye mapenzi na baba yako ukirudi hisia kama zote utakuwa nazo.
 
Kwa hiyo nitafute kidume chochote nikiintroduce kwake? Kwa nini nifike mbali hivyo wakati mambo haya yanazungumzika tu? Hajawahi kunitamkia kwa hiyo mimi sijui hata naanzia wapi kumkataa mtu ambae hajanitaka
 
Tumekosa nini sasa jamani hee
Hivyo viela vidogo unavyochukua huenda vinampa expectation huyo jamaa,akiamini kwamba one day yes jiepushe na wamwaga acid dada yangu.tengeneza mazingira amjue boyfriend wako mapema au la usile vyake.
 
Hivyo viela vidogo unavyochukua huenda vinampa expectation huyo jamaa,akiamini kwamba one day yes jiepushe na wamwaga acid dada yangu.tengeneza mazingira amjue boyfriend wako mapema au la usile vyake.
Yaani nione imethibitishwa nirudishe...nitajaribu mkuu ila nimepanga siku nikibarikiwa nitamrudishia hela zake na riba
 
Mmmh lazima utakuwa unachepuka aisee,please usije mletea ugonjwa mshikaji,bora ufanye maamuzi mengine tu
 
Uliolewa muda ambao haukua tayari kuingia katika ndoa
 
"Tumapenzi japo kiduchu"πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚
 
Wewe dawa yako ni kupigwa mbupu mpaka unyooke ,akil ikurud, yaan mpaka nyapu inukie nyama choma lazima umuheshimu huyo mumeo period ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…