Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Hii ndio asilimia 500 ya wanawake wengi walioko kwenye ndoa. Hawana ile true love.. hawakumpenda mume. Bali waliolewa sababu mume ni handsome, ana pesa, ana manyumba, ni maarufu.

Na wewe ni mmoja wapo, pole lakin Muombe sana Mungu akusaidie. Umeshakosea, maji yameshamwagika yazombe hamna namna.
Usije uka mcheat kuridhisha nafsi yako, siku ukitoka kwake ndio utagundua kuwa ulikuwa unampenda.
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
 
That the truth. Pesa hainunui penzi. Huwa nawashangaa wanaume wenzangu wanaodai pesa itamfanya mke atulie. Niwaambie tu utatuli mwili lakin si nafsi ya mwanamke.

Akikutana na kipenda roho huko nje.. hata kama una mabillion. Atachepuka tu akapoozwe.
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
 
That the truth. Pesa hainunui penzi. Huwa nawashangaa wanaume wenzangu wanaodai pesa itamfanya mke atulie. Niwaambie tu utatuli mwili lakin si nafsi ya mwanamke.

Akikutana na kipenda roho huko nje.. hata kama una mabillion. Atachepuka tu akapoozwe.
Kuna sehemu nimesema mume wangu ana fedha au maarufu?
 
At this stage, me naona hana option. Afike stage aamue tu kuwa "from today I will enjoy my man". Inawezekana ana wants nyingine, ila this is a kind of a man that she needs. Kwenye maisha ukikosa unachokitaka basi unaenjoy tu unachokipata. A lesson to all single ladies out there, ukishindwa kujifunza kumpenda mtu huku nje, extend muda wa kufunga ndoa hadi uanze kumpenda; ukishindwa kabisa, muache tu. Usimzibie mtu riziki ya kuwa na mtu watakayependana naye, kwa wewe kufunga naye ndoa while humpendi kabisa.

Afu maybe anamchukulia mumewe kawaida tu kwa sababu si ni wa kwake, anaye ndani; ngoja siku ajue kuna mwanamke mwingine ndo atajua anampendaje mumewe...... Kwa stage aliyofikia ajue tu kutofautisha Needs and Wants
Mapwenti kama yoooteee
 
My dear kuna mtu alishawahi kukufundisha kuwapenda wazazi, watoto wako au ndugu zako? Tulijikuta tu tunawapenda since we found them there for us. Muda tunaoutumia pamoja, vitu tunavyofanya pamoja, wanavyotujali automatically tunajikuta na sisi tunawapenda na kuwajali na tunatengeneza bond ambayo si rahisi kuvunjika. Ndiyo maana utagombana nao weee, mtanuniana but still mtamend your broken relationship. Anza kumjali mumeo, mchukulie kama ndo nusu yako, furaha yako; fanya vitu vitakavyompa furaha. Yani anza kuona kuwa huyo ndo mumeo, na hiyo ndo ndoa yako na hutokuwa na ndoa nyingine, na huna option nyingine ila kuona ndoa yako (including wewe mwenyewe), mna furaha.

Ungekuwa kwenye dating maybe tungekushauri muachane, ila ndo mmeshakuwa familia tayari. You were very selfish kuingia ndoani na huyo mwanaume now clear your conscious, mfanye mumeo kama ndo "project" yako mpya unayoianzisha ukiwa na "goal" ya kutengeneza ndoa imara yenye furaha. Put in your all; sacrifice everything you can to make your marriage enjoyable.

Ndugu, sijui kama unajua how blessed you are to have such kind of a man; He is such a rare gem (inawezekana unajua ila kwa sababu upo naye, unaona kama kitu cha kawaida tu). Ukikutana na "waathirika wa ndoa", utalia na kujuta kwa nini unamfanyia hivyo mumeo. Afu wanaume wa hivyo siku akigundua jinsi unavyomuwazia ndugu you will surely regret. Atakavyokubadilikia, hutoamini kamwe na inawezekana isiwe rahisi sana kuja kurudisha mambo kama yalivyokuwa before . You have bagged yourself a good man; usiwe mwanamke mpumbavu; keep him oooh keep him.

Amua kwamba unataka kuwa na ndoa ya furaha. Muaccept/embrace mumeo. I know kuna wishes/matarajio fulani kwenye maisha lakini hadi leo hujayapata, je umeacha kuenjoy maisha au umesema haya ndo maisha yangu na nitayaishi to the fullest? Amua kuenjoy your marriage mama. Ukija makanisani wenzio wanavyoomba hata waume zao waugue angalau tu waweze kupata muda wa kukaa nao......! Amua tu mama.

Btw, huko moyoni mwako hamna mtu/ex ambaye umembeba and possibly ndo anakufanya unashindwa kureciprocate upendo wa mumeo? Leave everything behind for the sake of your marriage.
Yaani wewe.Haya mapointi si upewe tu hata ubunge wa kuteuliwa?
 
Pole sana mama kwa kujinyima furaha kwenye kitu cha thamani kama ndoa. Maamuzi ni yako. Kuendelea kuishi na mwanaume usie na hisia nae au kutoka kwenda kutafuta unaempenda. Ila kama umeweza miaka sita bila mumeo kujua endelea kuvumilia sababu ina inaonekana kuna kitu bado kinakufanya uendelee kushikilia ndoa yako.
Kwa kitandani anza kubadilisha akili yako. Mawazo ya kwanza hakufurahishi yapotezee ukiwa nae. Ikiwezekana kunywa kidogo kabla ya game na hakikisha na yeye ana furaha ili akupe furaha wakati huo.
Sababu ya kwanza iliyokufanya ukubali ndoa ikumbuke hiyo hiyo uendelee kulinda ndoa yako. Japo nina wasiwasi siku kimoja kikipungua utaondoka bila kugeuka nyuma.
Akili kumkichwa
 
Shoga angu, enjoy ooh. Kuna wanaume "wapumbavu", yet ukikuta wake zao wanavyostruggle to keep them, unajiuliza huyu anahangaika na nini jamani? Watu wanavunja nazi, pasua mayai, vilingeni kama 2nd home, shinda kanisani; kisa tu ndoa na hapo mume ni pasua kichwa. Yani kama kuna vitu vigumu duniani, basi finding a good partner ni kimojawapo. You got a man who loves, honors and respect you, Mungu akupe nini tena? Do whatever it takes to keep him. Kila la kheri
Thank you
Thank you
Thank you !!moyo wangu umejiskia kuinuka mno baada ya kusoma ushauri wako. Help me Oh God, to see how blessed I am, teach me to reciprocate my husband's love.
You are truly heaven sent
 
niakianza kukudharau,kucheat na kuwa na tabia za ajabu ndo utampenda,niamini mimi, you have low self esteem unahitaji wanaume wa ajabu ajabu ndo type yKo.
 
Pole sana mama kwa kujinyima furaha kwenye kitu cha thamani kama ndoa. Maamuzi ni yako. Kuendelea kuishi na mwanaume usie na hisia nae au kutoka kwenda kutafuta unaempenda. Ila kama umeweza miaka sita bila mumeo kujua endelea kuvumilia sababu ina inaonekana kuna kitu bado kinakufanya uendelee kushikilia ndoa yako.
Kwa kitandani anza kubadilisha akili yako. Mawazo ya kwanza hakufurahishi yapotezee ukiwa nae. Ikiwezekana kunywa kidogo kabla ya game na hakikisha na yeye ana furaha ili akupe furaha wakati huo.
Sababu ya kwanza iliyokufanya ukubali ndoa ikumbuke hiyo hiyo uendelee kulinda ndoa yako. Japo nina wasiwasi siku kimoja kikipungua utaondoka bila kugeuka nyuma.
Akili kumkichwa
😂😂😂😂😂🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍷🍸
 
Back
Top Bottom