kadovela
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 471
- 679
Kwanza mwanamke anapaswa kujenga hisia kwa mwanaume aliyemfuata na kumtongoza, wewe unaanzaje kuwa na hisia na mwanaume ambaye hana hata mpango na wewe, mtoa post kanishangaza sana. Sasa îtabidi utamaduni mpya wa wanawake kutongoza wanaume na kuwalipia mahali uanze ili mpate mliokuwa na hisia nao. Vuta subra ipo siku utampata mtu sahihi
Dah DUNIA kweli haina usawa watu wanakesha kuomba kupata mme kama wako aisee wanakosa wanapata vivuruge ..nawe Mungu kakupa alie sahihi kwako lakini huna hisia nae ..Mungu ni mwema ipo siku atanipa kama huyo .