Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
Taser gun ,hahaaaaaa we jamaaAgiza machine ya kupigia shot kama zile za mapolisi kaa nayo ndani. Akileta makelele we tekenya ya mbavu ukipiga utauwa then itakuwa kesi keko itakuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taser gun ,hahaaaaaa we jamaaAgiza machine ya kupigia shot kama zile za mapolisi kaa nayo ndani. Akileta makelele we tekenya ya mbavu ukipiga utauwa then itakuwa kesi keko itakuhusu
Naomba nikudunde kidogo...Kama anang'ang'ana mwambie tu "acha kunifatafata,mi sijawahi kupenda...ningekuwa nishawahi bas nisingekuacha" akirudi tena nitag
Mi moyo wangu umechoka sana,najihisi kupumzika for everything.... So siyo kunidunda tu but u killed itNaomba nikudunde kidogo...
Killed it? Me? How?Mi moyo wangu umechoka sana,najihisi kupumzika for everything.... So siyo kunidunda tu but u killed it
Sorry,huenda ni typing error.,...Killed it? Me? How?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee nimekuja kugundua wanawake ukiwaacha ki amani amani wao wanaona Bado hamjaachana, yaani mpaka mbondane muvuane nguo za ndani mpigane ndo wanaelewa kimewaka.
Tumeeachana na wadada kiamani ila mara zote nikifanya hivyo huwa wanajirudisha kujibembeleza na kutaka kukupa hata kama unayo mpya.
Nilichogundua Ili muachane vizuri ni vema mkadundana mangumi , mtoane ngeu maana wanawake ni vinganganizi
Naombeni ushauri
So am I the reason for your sadness?Sorry,huenda ni typing error.,...
Nimesema nimekosea kuandika babaSo am I the reason for your sadness?
Nishakua baba yako jirani...Nimesema nimekosea kuandika baba
😂 😂 😂 daa...mpaka nimecheka.Haya endelea kunifukunyuaNishakua baba yako jirani...
Kama mada inavyosema mpaka nikudunde... kupigana na mimi huwezi jirani...😂 😂 😂 daa...mpaka nimecheka.Haya endelea kunifukunyua
Cheki unavyotia huruma... hahahaMbona Mimi nimekubali....kwan unataka unifanye nn kingine? Jirani nionee huruma bas....mi ni mwanamke anaejua nyenendo zote za mumewe afu hatikisiki ila anatikiswa na kutokuthaminiwa tu ......jirani ....kupigana siwez
Sawa,asanteCheki unavyotia huruma... hahaha
Tu wewe nakupendaKama anang'ang'ana mwambie tu "acha kunifatafata,mi sijawahi kupenda...ningekuwa nishawahi bas nisingekuacha" akirudi tena nitag
😂 😂tu sisiTu wewe nakupenda
Upo kanda ya kaskazini nije tusisi? 😋😂 😂tu sisi
Nipo kusini....ivo tuta tuseparateUpo kanda ya kaskazini nije tusisi? 😋
OK, siku ukikanyaga Arusha nishtue hutojuta 🤗Nipo kusini....ivo tuta tuseparate