Mwanamke usipoachana nae kwa ugomvi mkali ni mtihani sana

Mwanamke usipoachana nae kwa ugomvi mkali ni mtihani sana

Duuh! Hiyo ya mateke na magumi mara nyingi nayo inazaa visasi na maugomvi ambayo mwisho wa siku kila mmoja atajuta kumfahamu mwenzie.

Bora kuachana hiyo kipoa poa tu na sioni kama ukiona mtu anakufuatilia ukamkaushia sidhani kama ataendelea kukung'ang'ania.
 
Mwambie unaye mwingine. Aking'ang'ana kuja kwako, mwache aje. Then rudia kumwambia humtaki tena.

Wakati anakubembeleza, wewe mpigie ulie nae mpya halafu umsifu jinsi "anavyokufikisha" umkumbushie na staili mlizotumia na jinsi ulipofurahi. Unamwambia yote hayo wakati huyo anayekubembeleza anasikia.

Atakuacha mwenyewe
 
Sio ving'ang'anizi ila maisha ni magumu alafu wakipiga mahesabu wanaona wanaume tumebaki wachache, ila ushauri wangu ni kupambana tu ili tuwe na uwezo wa kuhudumia makoloni mengi.
 
Agiza machine ya kupigia shot kama zile za mapolisi kaa nayo ndani. Akileta makelele we tekenya ya mbavu ukipiga utauwa then itakuwa kesi keko itakuhusu
Kumbe Police wana mashine ya Kupigia Shot, Je wanaitumia Kupiga kina nani sasa?
 
Kama anang'ang'ana mwambie tu "acha kunifatafata,mi sijawahi kupenda...ningekuwa nishawahi bas nisingekuacha" akirudi tena nitag
Aaah bwashee mimi kuna demu nilishamuambia maneno yote kwenye kamusi bado anang'ang'ania tu.
Mpaka nisha give up
 
Hujamuacha vizuri huo
Duh, nmejaribu kila kitu kwenye kitabu. Kama matusi hakuna tusi skumwambia.
Yani ukimzingua ile ile anakupotezea.
ila baada ya miez mi2 anaanza mambo. Ukitukana tena anapotezea ila baada ya miez 6 anakuanza mambo.
Ukiblock anabadilisha namba.
Yani uking'aka sana anakaa hata miez 8 unashtukia tu amekupigia
Na akijua unapokaa unashtukia tu huyu hapa.
 
Duh, nmejaribu kila kitu kwenye kitabu. Kama matusi hakuna tusi skumwambia.
Yani ukimzingua ile ile anakupotezea.
ila baada ya miez mi2 anaanza mambo. Ukitukana tena anapotezea ila baada ya miez 6 anakuanza mambo.
Ukiblock anabadilisha namba.
Yani uking'aka sana anakaa hata miez 8 unashtukia tu amekupigia
Na akijua unapokaa unashtukia tu huyu hapa.
Aisee
 
Anakuona hujielewi.

Mwanamke akijua wewe ni mwanaume mwenye msimamo mkali na hauwezi badilisha maamuzi hawezi ku-act hivyo kwako.

Kwani tayari Kwa jinsi alivyoishi na wewe anauzoefu na wewe kuwa usemacho ndicho ufanyacho.
 
Mi kuna mwanamke nimeachana nae zaidi ya miaka miwili sasa juzi kati nashangaa kanitumia meseji "Baba T hebu njoo nichukue hapa nyumbani nipeleke mjini mara moja"
 
Mi kuna mwanamke nimeachana nae zaidi ya miaka miwili sasa juzi kati nashangaa kanitumia meseji "Baba T hebu njoo nichukue hapa nyumbani nipeleke mjini mara moja"
Ametumika sana na masela sasa wamemuacha anataka rudisha mpira kwa kipa
 
Aisee nimekuja kugundua wanawake ukiwaacha ki amani amani wao wanaona Bado hamjaachana, yaani mpaka mbondane muvuane nguo za ndani mpigane ndo wanaelewa kimewaka.

Tumeeachana na wadada kiamani ila mara zote nikifanya hivyo huwa wanajirudisha kujibembeleza na kutaka kukupa hata kama unayo mpya.

Nilichogundua Ili muachane vizuri ni vema mkadundana mangumi, mtoane ngeu maana wanawake ni vinganganizi.

Naombeni ushauri

Kina mijanamke ni kero kwetu wanaume yaani ukiliacha halitaki ni fujo tuuuu mtindo mmoja..najuta sana kuwa na hili demu
 
Back
Top Bottom