Huu ni upuuzi
Kumbe Police wana mashine ya Kupigia Shot, Je wanaitumia Kupiga kina nani sasa?Agiza machine ya kupigia shot kama zile za mapolisi kaa nayo ndani. Akileta makelele we tekenya ya mbavu ukipiga utauwa then itakuwa kesi keko itakuhusu
Aaah bwashee mimi kuna demu nilishamuambia maneno yote kwenye kamusi bado anang'ang'ania tu.Kama anang'ang'ana mwambie tu "acha kunifatafata,mi sijawahi kupenda...ningekuwa nishawahi bas nisingekuacha" akirudi tena nitag
Hujamuacha vizuri huoAaah bwashee mimi kuna demu nilishamuambia maneno yote kwenye kamusi bado anang'ang'ania tu.
Mpaka nisha give up
Duh, nmejaribu kila kitu kwenye kitabu. Kama matusi hakuna tusi skumwambia.Hujamuacha vizuri huo
AiseeDuh, nmejaribu kila kitu kwenye kitabu. Kama matusi hakuna tusi skumwambia.
Yani ukimzingua ile ile anakupotezea.
ila baada ya miez mi2 anaanza mambo. Ukitukana tena anapotezea ila baada ya miez 6 anakuanza mambo.
Ukiblock anabadilisha namba.
Yani uking'aka sana anakaa hata miez 8 unashtukia tu amekupigia
Na akijua unapokaa unashtukia tu huyu hapa.
Sasa kama huyo unafanyaje? Namm sijui kupiga mwanamke.Aisee
Mwache aendelee kuhangaikaSasa kama huyo unafanyaje? Namm sijui kupiga mwanamke.
SawaMwache aendelee kuhangaika
Pole sanaSawa
Ametumika sana na masela sasa wamemuacha anataka rudisha mpira kwa kipaMi kuna mwanamke nimeachana nae zaidi ya miaka miwili sasa juzi kati nashangaa kanitumia meseji "Baba T hebu njoo nichukue hapa nyumbani nipeleke mjini mara moja"
Aisee nimekuja kugundua wanawake ukiwaacha ki amani amani wao wanaona Bado hamjaachana, yaani mpaka mbondane muvuane nguo za ndani mpigane ndo wanaelewa kimewaka.
Tumeeachana na wadada kiamani ila mara zote nikifanya hivyo huwa wanajirudisha kujibembeleza na kutaka kukupa hata kama unayo mpya.
Nilichogundua Ili muachane vizuri ni vema mkadundana mangumi, mtoane ngeu maana wanawake ni vinganganizi.
Naombeni ushauri