Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Hapa ulikuwa unajichatisha mwenyewe tu😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana usiku baada ya kula tulienda kupima afya zetu. Vipi nako nilijipimisha mara 2?Hapa ulikuwa unajichatisha mwenyewe tu😁😁
Jana usiku baada ya kula tulienda kupima afya zetu. Vipi nako nilijipimisha mara 2?
nidanganye kwa faida ya nani sasa bwashee?
Haya
Haya sawa maisha mema ila kikiwaka usisite kuleta mrejesho hapaJana usiku baada ya kula tulienda kupima afya zetu. Vipi nako nilijipimisha mara 2?
nidanganye kwa faida ya nani sasa bwashee?
View attachment 2311685
Huwajui wanawake wewe, kikubwa ishi nae kwa akili tuMkuu yani ukiona ninavyoishi na huyu binti yan utajua hawa wanapendana sana.
mapenz yale ya asili kabisa ndio nay experience
-hakuna kuombana hela hovyo
-hatugombani mbele za watu
-hajawahi kuongea na mm kwa sauti ya juu wala kufoka
-akiniona ananipokea na anatangulia ndani kabisa
Anajikuta anajua sanaMkuu kwanza tuheshimiane.
Huyo ni mke wangu, sio dem kama ulivyojijengea fikra juu yake.
Kisha tambua kuwa Elimu sio kigezo cha ndoa kuwa bora/kudumu, take that note my friend.
Mwisho, You judge too much man, maisha yako yamejaa hukumu tu nothing sweet
Tatizo la uandishi limefanyiwa kazi, no one is ever perfect.
pole kwa kukwazika.
Tarehe 8 mwezi ujao tutakuwa pamoja kama mke na mume.
View attachment 2275050
Noma sanamrejesho jamani story tamu hadi nimemtamania huyu mwamba sisi tunakunaga na mikulumbembe jawigi mengi, omba omba kila siku wanadaiwa vicoba na nikopo benki
BAdo miezi mitano mbele.Dogo heb tulia kwanza afu baada ya miezi sita ulete mrejesho,je hizo mbwembwe bado zipo?
Alishanaswa mkuuKuna samaki inaenda kunasa kwenye ndoano..😂
Endelea kucheka mkuuNafikiri hii thread ndio kitu pekee kilichonifanya nicheke kwa siku ya leo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji706]
The future is in the hands of God.Ndoa hii inaweza survive ndani ya miezi isiyozid 20 tu
asante mkuu kwa kuniombea mema.Nawaombea muwe hivyo hivyo..
Huu ndo uchawi wenyewe sasaNdoa hii inaweza survive ndani ya miezi isiyozid 20 tu