Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Niliambiwa ukiona unaenda sehemu kuoa harafu hupati "kaupinzani" hata kadogo tuu. Ujue watu wanatafuta namna ya kukupa mzigo unao wasumbua...
Mkuu inategemea ntu na ntu.
Kuna madada mpaka wanatongoza kwa style tofauti tofauti na unakuta ana mapenzi ya dhati kweli hataki akukose. So, upinzani inategemea.
 
Aisee...huyo ni mtoto. Anaonesha anakupenda. Ila kwa jinsi ya maelezo yako kuwa alikukataa kwanza na sasa anataka kuolewa kwa speed hii. Nashauri kama umempenda kuwa naye ktk mahusiano huku ukimchunguza. Kwa umri wake, na kama wewe umemzidi kiasi basi ni rahisi kujua tabia yake halisi. Unadishi wake ni umri na siyo tabia. Mawazo yake ya kitoto ni mazingira take na umri wake. Anaweza kuwa anakupenda kweli Ila hajajua ni style ipi ya kuonesha huo upendo wa dhati ambao watu wa JF wanaweza kuupima na kukupa GO AHEAD YA KUMUOA.

Watu wengi humu wanatamani kuwa ktk umri wako na kuanza mahusiano ya ndoa kama hivyo sema ndo hivyo tena....

Unaweza kuta watu zaidi ya 100 hawana wa kuwaambia maneno kama hayo hata kama ya uongo au ya kitoto.

Ushauri wangu, kama hamjapishana saaana kiumri anzisha mahusiano ya dhumuni la kumuoa. Lakini usiharakishe kumuoa au kuishi naye kwa sasa. Hii itakupa muda wa kumjua vizuri tabia, mihemko, mwenendo, background etc.

Halafu umesema amempigia mama ako Mdogo? Ina maana familia zinajuana?
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu nimejifunza vingi kupitia maneno ya hekma na busara.

uzeeke na busara zako mzee James ajae🙏🙏🙏
 
To each, his own!

Wakuu mnasiriba sana na kupiga spana mno, yaani nimecheka sana comments. Muacheni mdogo wetu achukue mrembo wake! 😀
 
To each, his own!

Wakuu mnasiriba sana na kupiga spana mno, yaani nimecheka sana comments. Muacheni mdogo wetu achukue mrembo wake! 😀
waache wasilibe mwenzenu namiminiwa risasi za mahaba
Screenshot_20220627-164653.png
 
Ni kweli natumia line 2 zote za Tigo.
Nanufaika na Data za kutosha mkuu.
Moja kwa ajili ya Data, special kwa Internet (angalia bando la Data), nyingine ndio kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida

Hii ya pili nayo ikifika muda wake inapewa 6Gb kwa wiki pili baada ya sim 1 kuishiwa
View attachment 2274045
Mkuu mm Tangu walivyonipa GB 5.5 mpaka Leo hawataki kuniuunga tena, walisema niweke Elfu Moja Ili mwezi ujao nipate tena Ila nashangaa Kila nikijiunga inakataa
 
Ni kweli natumia line 2 zote za Tigo.
Nanufaika na Data za kutosha mkuu.
Moja kwa ajili ya Data, special kwa Internet (angalia bando la Data), nyingine ndio kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida

Hii ya pili nayo ikifika muda wake inapewa 6Gb kwa wiki pili baada ya sim 1 kuishiwa
View attachment 2274045
Ukiandika neno BURE kwenda namba 15166 unapewa GB 5.5 au 6 za kutumia ndani ya Wiki 2. Na inabdi uweke Elfu Moja ndani ya Mwezi huo Ili upate hii offer mwezi ujao
 
Hivi ni shule gani wanafundisha aina hiyo ya uandishi? 'Xaxa' ' maixha' 'ww' screenshot nimeishia njiani kuisoma siielewi.
 
Mkuu mm Tangu walivyonipa GB 5.5 mpaka Leo hawataki kuniuunga tena, walisema niweke Elfu Moja Ili mwezi ujao nipate tena Ila nashangaa Kila nikijiunga inakataa
MIMI HUWA SIWEKI HATA MIA mkuu na wananipa. Tena nina line 3 zote zinapokea 6gb.

Mtafute aliekuunga akupe mwongozo la sivyo tafuta hela kidogo nikuunganishe sehem wakuunge.
 
Ukisikia kuoa unaweza ongeza hatua maishani mwako, bas upatw mwanamke kama huyu..
Screenshot_20220720-170405.png
 
mkuu kuna ngazi nyingi za uanafunzi.

any way huyu ni mtu mzima na hasomi hii elimu yenye kifungo cha miaka 30😅😅

anajitambua vizuri sana sema sijawahi kumuweka maishani mwangu kama Mrs GR..

Wewe huyo anakuweka kwenye reli, shauri yako....
 
Wewe huyo anakuweka kwenye reli, shauri yako....
Mkuu yani ukiona ninavyoishi na huyu binti yan utajua hawa wanapendana sana.

mapenz yale ya asili kabisa ndio nay experience

-hakuna kuombana hela hovyo
-hatugombani mbele za watu
-hajawahi kuongea na mm kwa sauti ya juu wala kufoka
-akiniona ananipokea na anatangulia ndani kabisa
 
Back
Top Bottom