Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

This is a joke. Jamani huyu sikio la kufa hatawaelewa. Hapo hata mumshauri vipi mbususu ishampoteza. Chamsingi mumuombee (in magu'z voice)

Actually mkuu nyie mmekutana pipa na mfuniko. Fanya utakachopenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unayajua mapenz weuwe
 
Kweli hapa nahisi kuna ukweli ndani yake maana hili penzi jipya limekuja kama mafuriko.

kanicheki tarehe 17/6... baada ya siku 2 ananiambia wazi anataka kuolewa tena hata bila mahari, yuko tayari.

nimechoka aisee maana hio pressure sio ya nchi hii😅😅😅

ila nampenda maana nimemtia majaribuni ndani ya muda mfupi nimeona yuko strong
Hongera boss kwa kufanikiwa kumpata mwandani wako.
 
Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
(hatakama tutalala njaa nitashiba kwa upendo wako ,nikifika kwako nitashiba bila kula)

Alafu unataka kuniambia huyu ni mwanamke mwenye kujielewa na maisha huyu ni mtoto kabsa yaan namaanisha lasaba B
Foolish age + nyege zinampeleka speed ya super sonic 5G+
Hakuna kitu hapo kumbavu kabsa
 
(hatakama tutalala njaa nitashiba kwa upendo wako ,nikifika kwako nitashiba bila kula)

Alafu unataka kuniambia huyu ni mwanamke mwenye kujielewa na maisha huyu ni mtoto kabsa yaan namaanisha lasaba B
Foolish age + nyege zinampeleka speed ya super sonic 5G+
Hakuna kitu hapo kumbavu kabsa

(hatakama tutalala njaa nitashiba kwa upendo wako ,nikifika kwako nitashiba bila kula)

Alafu unataka kuniambia huyu ni mwanamke mwenye kujielewa na maisha huyu ni mtoto kabsa yaan namaanisha lasaba B
Foolish age + nyege zinampeleka speed ya super sonic 5G+
Hakuna kitu hapo kumbavu kabsa
Mkuu mbona mm na wewe tunapitia changamoto sawa katika milango tofauti?


wewe ulileta uzi juu ya mwanamke wako alieachika kwa jamaa huko na mambo kibao


heri yangu huyu ana foolish age ambaye kila mwanadamu alipitia😅😅😅
 
Mkuu mbona mm na wewe tunapitia changamoto sawa katika milango tofauti?


wewe ulileta uzi juu ya mwanamke wako alieachika kwa jamaa huko na mambo kibao


heri yangu huyu ana foolish age ambaye kila mwanadamu alipitia[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] Sawa mkuu lakini tafuta mwanamke anaejielewa yule wangu mi anajielewa ndomana
 
Simu yako ni line mbili za mtandao mmoja wa tigo, kwenye screenshot inajionesha, sijui hiyo imekaaje kwa wadau wengine, ila kwangu mimi binafsi ni red flag.
 
Yaani I hate this type of uandishi,mtu anaendika hv namshusha P
Mwanamke mwezio anafundishika vizuri tu, nimemwelimisha juu ya x na s, kabadilika haraka sana
Screenshot_20220627-103444.png
 
Simu yako ni line mbili za mtandao mmoja wa tigo, kwenye screenshot inajionesha, sijui hiyo imekaaje kwa wadau wengine, ila kwangu mimi binafsi ni red flag.
Ni kweli natumia line 2 zote za Tigo.
Nanufaika na Data za kutosha mkuu.
Moja kwa ajili ya Data, special kwa Internet (angalia bando la Data), nyingine ndio kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida

Hii ya pili nayo ikifika muda wake inapewa 6Gb kwa wiki pili baada ya sim 1 kuishiwa
Screenshot_20220627-103820.png
 
Never trust a woman hata akikwambia Yuko tayar kufa kwa ajili yako
Mwanamke yuko tayari kufa toka siku ya kwanza alipokubebea mimba yako.

Kufa kwa ajili yetu ni asili hio. Angalia wangapi wanakufa wakati wa kujifungua. Utakuja kuniambia
 
Back
Top Bottom