Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mkuu hii ilikuwa chumvi tu lakini huyo dada na uhakika maisha yao hayako vyema anatafuta pa kupumulia
Screenshot_20220627-130204.png

inawezekana mkuu maana naona huu moto anaonipelekea sio wa nchi hii.

Tarehe 8 july nampokea Mwanza kwa gharama zake mwenyewe😎😎
 
Ogopa sana gumegume linalotumia herufi '' X '' badala ya '' S'' ndio yale wanakwaya wanaimba '' wanajivalia ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali' subiri umpe mkataba wa kudumu ndio ujue rangi zake halisi
 
Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Hizi ni nyege zinamsumbua tu sikiliza muite sehemu hata leo muweke ile style kama unanoa kisu guu la roho alafu washa moto vizuri hapo utakua umemfanyia factory default atarudiwa na fahamu na hatakiwa na maamuzi ya kitoto kama hayo
 
Ni kweli natumia line 2 zote za Tigo.
Nanufaika na Data za kutosha mkuu.
Moja kwa ajili ya Data, special kwa Internet (angalia bando la Data), nyingine ndio kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida

Hii ya pili nayo ikifika muda wake inapewa 6Gb kwa wiki pili baada ya sim 1 kuishiwa
View attachment 2274045
Hili bando la data ni kwa bei gani mzee?
 
Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
ake care , huyo ni suicidal charachter!
 
Kwa uandishi huo tu nakuacha na ukachukue hayo maamuzi yako ....nyambaf kabisa
 
Haha sitarudia.
Sijui nini ilinipitiaga katika mazingira flani
Nikajikuta nimempatia namba mtoto flan mwenye mwandiko kama huo, ilikuwa kila akinitext najisikia aibu kuwa ilikuwaje hata akawa na namba zangu?.
Unajua nini?
Nilikuwa simjibu akipiga sipokei nikitaka akate tamaa wapi.
Nitaandikiwa gazeti.
Nikijaribu kumwambia wewe ni mdogo tafuta dogo mwenzio aah wapi.

Wanajua kung'ang'ania hao mbona utakoma?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mtu anaandika X sehemu ya S. Hamna akili hapo.
 
Kwa uandishi huo tu nakuacha na ukachukue hayo maamuzi yako ....nyambaf kabisa
Nyambaf zako, wewe ulikuja jf ukataka ukimbiliwe haraka uoe sasa unaona wivu mimi kukimbiliwa huku mtaani?

hivi we jamaa una akili gani?

unatukana wenzio wakati na wewe una Virus kichwani?

Poor you!

Screenshot_20220627-152544.png
 
Nashangaa sana wale wanaochukulia siriaz swala la mtu kutumia X badala ya S ,kwangu mimi hilo sio tatizo kabisa muhimu upendo na tabia njema kwani mtu anaweza akawa smart kuandika lakini ukapigwa na kitu kizito kichwani.
Hilo ni tatizo kubwa ....
 
Aisee...huyo ni mtoto. Anaonesha anakupenda. Ila kwa jinsi ya maelezo yako kuwa alikukataa kwanza na sasa anataka kuolewa kwa speed hii. Nashauri kama umempenda kuwa naye ktk mahusiano huku ukimchunguza. Kwa umri wake, na kama wewe umemzidi kiasi basi ni rahisi kujua tabia yake halisi. Unadishi wake ni umri na siyo tabia. Mawazo yake ya kitoto ni mazingira take na umri wake. Anaweza kuwa anakupenda kweli Ila hajajua ni style ipi ya kuonesha huo upendo wa dhati ambao watu wa JF wanaweza kuupima na kukupa GO AHEAD YA KUMUOA.

Watu wengi humu wanatamani kuwa ktk umri wako na kuanza mahusiano ya ndoa kama hivyo sema ndo hivyo tena....

Unaweza kuta watu zaidi ya 100 hawana wa kuwaambia maneno kama hayo hata kama ya uongo au ya kitoto.

Ushauri wangu, kama hamjapishana saaana kiumri anzisha mahusiano ya dhumuni la kumuoa. Lakini usiharakishe kumuoa au kuishi naye kwa sasa. Hii itakupa muda wa kumjua vizuri tabia, mihemko, mwenendo, background etc.

Halafu umesema amempigia mama ako Mdogo? Ina maana familia zinajuana?
Katika hao watu 100 me sikosi hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom