Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

[emoji39]hivi Huwa mnachukua short course za mpnz [emoji848]mm cjui nakwama wap hataree[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hatimae love of my life amefika na tumeungana kwenye safari ya ujenzi wa familia
Screenshot_20220801-131815.png
 
Mkuu umenichekesha sana, watoto kama Hawa wamepita sana Kwenye maisha yangu, Nilikua na Mmoja Alikua ananitumia Hadi pesa Kila Mwezi, Nguo ananinunulia. Hata nikimwambia hapana hasikii lakini mwisho wa Siku Nilikuja kuachana Nae Kwasababu zangu binafsi[emoji23][emoji23] tena tuliachana Instagram maana nilimblock namba zake
Duu huyo mtoto alikuwa form ngapi Ngao ya Sponji
 
Kwa uandishi huo sio ajabu kuhamia kwa mtu bure bila mahari.
 
Mleta mada na huyo demu wako ni wahitimu wa shule za kata au bado mnasoma shule za kata.?
Yaani uandishi wa huyo demu wako umenikera hata akinipa bure mbususu yake nitaimwagia mchanga.
Mwambie ajifunze kwanza kuandika mapenzi yapo tu na hata yamaliza.
 
mrejesho jamani story tamu hadi nimemtamania huyu mwamba sisi tunakunaga na mikulumbembe jawigi mengi, omba omba kila siku wanadaiwa vicoba na nikopo benki
 
Mleta mada na huyo demu wako ni wahitimu wa shule za kata au bado mnasoma shule za kata.?
Yaani uandishi wa huyo demu wako umenikera hata akinipa bure mbususu yake nitaimwagia mchanga.
Mwambie ajifunze kwanza kuandika mapenzi yapo tu na hata yamaliza.
Mkuu kwanza tuheshimiane.

Huyo ni mke wangu, sio dem kama ulivyojijengea fikra juu yake.

Kisha tambua kuwa Elimu sio kigezo cha ndoa kuwa bora/kudumu, take that note my friend.

Mwisho, You judge too much man, maisha yako yamejaa hukumu tu nothing sweet
 
Back
Top Bottom