Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji39]hivi Huwa mnachukua short course za mpnz [emoji848]mm cjui nakwama wap hataree[emoji119][emoji119][emoji119]
Duu huyo mtoto alikuwa form ngapi Ngao ya SponjiMkuu umenichekesha sana, watoto kama Hawa wamepita sana Kwenye maisha yangu, Nilikua na Mmoja Alikua ananitumia Hadi pesa Kila Mwezi, Nguo ananinunulia. Hata nikimwambia hapana hasikii lakini mwisho wa Siku Nilikuja kuachana Nae Kwasababu zangu binafsi[emoji23][emoji23] tena tuliachana Instagram maana nilimblock namba zake
Haya zma data kazi iendeleeHIV NEGATIVE
View attachment 2311343
Halafu huwa wakigeuka hawa wanakuwa wabaya kwa kiwango kile kile cha upendo waoAnaenda kulia mtu hapa soon ...
Hakuna mapenz hapo ni genye tu hzoo mzee baba.
Mkuu kwanza tuheshimiane.Mleta mada na huyo demu wako ni wahitimu wa shule za kata au bado mnasoma shule za kata.?
Yaani uandishi wa huyo demu wako umenikera hata akinipa bure mbususu yake nitaimwagia mchanga.
Mwambie ajifunze kwanza kuandika mapenzi yapo tu na hata yamaliza.
ndio nishaoa mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]nacheka huku naogopa