heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
kwanini bwana injiniaWewe dada Mungu anakuonaπππ
Kama uko hivi kwa mmeo lazima atakuwa na hamu nawe kila siku
Na mimi nasema hata siyo anataka hifadhi. Ni watoto wamekutana.Huyo mwanamke hata sio nyege, anataka hifadhi ππ
Mie napenda sana mwanamke jasiri huwa nakuwa hoi yaani.kwanini bwana injinia
Naam joto la utineja hiloNa mimi nasema hata siyo anataka hifadhi. Ni watoto wamekutana.
mkuu mawasiliano nimepunguza kwa leo tuila naona ndio kama nakoleza moto.haujataja umri ila umri zenu ni below 25, sikia uyo dogo yupo siriasi anaweza chukua maamuzi yoyote , kuna kisichana kimoja kilikuwa kinasoma fom 3 kilimeza vidonge mimba ikatoka nikamuuliza ukifa je akajibu sawa tu ila sitaki ii mimba iliingia bahat mbaya( alipewa na vijana wenzie)
kwaiyo uyo kama humtaki mpunguze speed kwanza ndo umuache ila ukimuacha gafla anajiua kweli, ila kama umemridhia oa
kumpunguza speed jaribu kupunguza mawasiliano akitext asubh jibu mchana akikupigia usipokee mpigie badae , mwite piga papuchi mpka genye zote zitoke, mtafutie kazi awe bize nawe uwe bize
huwa muda wa kusema atajiua hatoupata
wanawake ni nusu wenda wazim wakiamua lao hufanya
π€£π€£@mzabzab unamwonea kamrudia Allahxaxa xi umwambie kuwa unampenda ili aje gheto umchakate mbuxuxu, xaxa xixi tuwaxaidieje watoto wa form xliii xi
mpigie ximu xaxa hivi mwambie unampenda xana tena uko tayari kufa kwa xababu unaxita kutoa mahari, xina budi kuwapongeza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnunulie smart phone, halafu m download-ie jf, aje afunzwe kusoma na kuandika na wakina cocastic ,to yeye ,Depal na mzabzab mzee wa totoz za form B na marinda ya wake za watu
[emoji125][emoji125][emoji125]
Xaxa wewe umeamuaje,unaoa au auoi??mkuu kuna ngazi nyingi za uanafunzi.
any way huyu ni mtu mzima na hasomi hii elimu yenye kifungo cha miaka 30[emoji28][emoji28]
anajitambua vizuri sana sema sijawahi kumuweka maishani mwangu kama Mrs GR..
Huyo kashapoteza dira, muache amgande[emoji23]si umeona mtu anatumia x badala ya s
unafikiri huyo mtu anaweza kuamua maisha yake
Mmmmmh huyu mdada ni balaa
Mwambie asiwe anatumia x badala ya S
Nisamehe sana Mawardat hilo sio kosa la kuvunja mahusiano hata kidogo.Mwambie asiwe anatumia x badala ya S
Mwambie huwezi kumuoa hadi ajirekebishe kuandika.
Vijana wanataka kulamba asali waacheni jmnKuna mambo mengine ili uweze kutatua lazima uhoji umri.
Kwa mada hiyo nyie bado ni watoto.
Huyo mwanamke atakuwa na umri 18- 22 maana kundi hili la wanawake wapo hot sana kwenye mapenzi ndiyo wanaanza. Atakuwa amemaliza kidato cha 4 hata mwaka haujapita.
Mwanaume atakuwa na umri 22-25 maana kundi hilo linawaza ngono kila muda.
Wote elimu zenu ni kidato cha 4. Angalia uhandishi wenu ni wakitoto. Kama ndiyo mpo kwenye huo umri, mtaachana muda siyo mrefu maana bado nyie ni watoto (hamjakomaa kiakili).
Ndoa ni maisha halisi na wala siyo maigizo.