heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
hahahaa embu mcheki hana mimba!? je bikra anayo? kama bikra ipo mchukue kama haipo punguza pupa , uyo akili za utoto zina msumbua niamini mimimkuu mawasiliano nimepunguza kwa leo tuila naona ndio kama nakoleza moto.
View attachment 2271916
Kuhusu wachumba;
mpaka sasa kaniambia wameenda wachumba watano kutoka Arusha, shinyanga na Mwanza. Kawakataa. Nimeongea hadi na mama Yake nae kakubali.
sasa mkuu sijui kama ni bahati ama nasukumiwa shida, mpaka sasa nawaza.
BINTI KANIAMBIA MWENYEWE ANANIPENDA, NA ANATAKA NIMUOE.
nilimuona mwaka jana akiwa kidato cha 4, nikamwambia nampenda na nitamsubiri akimaliza shule nimuoe.
akakataa kata kata na kudai ana malengo yake na kama ni kuolewa ni after 4 yearsπππ π π
niliondoka hapo na sikuacha mawasiliano, sasa ndio nashangaa ananiwashia moto
Mimi hata sisomi messege yenyewe, ni kuthihirisha ujinga wa mtuKwanza ana umri gani tuanzie hapo ?
Mimi nikishaona mtu anaandika Xaxa badala ya sasa , bx au baxi badala ya basi it's a turn off ! yaani hapo inakua nishampima akili yake na kuona ikoje hawa khoi khoi generation ni bure kabisa .
Mwenye kuasisi ndo ni mwanaume na sio mwanamke, ukiamua kwa kusikiliza hizo porojo zake umeisha.Maisha ya ndoa sio mchezo bwana mdogo.Usimpe majibu magumu endelea kumbembeleza ukimuomba awe na subira huku ukitafuna kizazi kwa mwendo wa vunja chaga na siku moja jifanye una huzuni nzito na umweleze umefukuzwa kazi na kama ni mjasiriamali mwambie umetapeliwa hela nyingi, halafu umsikilize anachoongea nikupe mtihani mwingineYuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptomsπ π ππ nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Nishajua hapa umekuja kutambishia tu,Nisamehe sana Mawardat hilo sio kosa la kuvunja mahusiano hata kidogo.
acha ajimwage mtoto wa watu
View attachment 2272055
Mkuu umenichekesha sana, watoto kama Hawa wamepita sana Kwenye maisha yangu, Nilikua na Mmoja Alikua ananitumia Hadi pesa Kila Mwezi, Nguo ananinunulia. Hata nikimwambia hapana hasikii lakini mwisho wa Siku Nilikuja kuachana Nae Kwasababu zangu binafsi[emoji23][emoji23] tena tuliachana Instagram maana nilimblock namba zakeYuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Kuna mambo mengine ili uweze kutatua lazima uhoji umri.
Kwa mada hiyo nyie bado ni watoto.
Huyo mwanamke atakuwa na umri 18- 22 maana kundi hili la wanawake wapo hot sana kwenye mapenzi ndiyo wanaanza. Atakuwa amemaliza kidato cha 4 hata mwaka haujapita.
Mwanaume atakuwa na umri 22-25 maana kundi hilo linawaza ngono kila muda.
Wote elimu zenu ni kidato cha 4. Angalia uhandishi wenu ni wakitoto. Kama ndiyo mpo kwenye huo umri, mtaachana muda siyo mrefu maana bado nyie ni watoto (hamjakomaa kiakili).
Ndoa ni maisha halisi na wala siyo maigizo.
Hahahaa kwann mkuu? Wapo sana hao Wala usishangae, wengi wao wanakua Ma bikra ambao Bado hawajui mapenzi au kuumizwaMammmaeeh linaelekea kufa jitu hapa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Anyway,Man Down
Umewaza kama Mimi[emoji1787]Umri wenu tafadhali. Mwanamke ana umri gani na wewe?
Utoto unawasumbua.Mtaelewa tu baada ya miaka mitatu baadaye.Yuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptomsπ π ππ nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Nilidhani labda umepata mwenye akili timamu kumbe kabongo fleva?
Mzee huyo kaona biashara yako ya kukopesha inalipa. Na hiyo biashara inafanyika uswahilini ndio wateja wapo, huo mtego kashaona pa kujishikiza akwepe kula miguu ya miguu ale kuku kamili. Kimbiasina namna ya ku control uandishi wake mkuu ila nafurahi kuona nina mwanamke mwepesi kusema samahani..π π π
View attachment 2271617
ashakataa kabisa nisimuite jina lake
ashawaambia wazazi wake kwamba namuoa na sina mahariπππ