Mwanamke wa kunipa mtoto tu

Mwanamke wa kunipa mtoto tu

Unawatania TU,kwani unamtoa humu? Kama utamtoa humu wafwaa
Kwaninwa humu sii ndio hao hao wanaopita mtaani sema hapa inaturahisishia kukutana.

Alafu sii unajua tena ukiwa na wife alafu napiga jokes humu na nyie nitaanza kucheka atataka kujua ni nini kimenichekesha
 
Back
Top Bottom