Si Ili muuane hapo baadae🤨Nioe ili nigundue nini?
Kametuweka sisi ndo kitengo Cha kumwondolea stress🤨😂😂Unaona Raha kututania eeh😂
😂😂😂KwakweliKametuweka sisi ndo kitengo Cha kumwondolea stress🤨
Sana yaani hapa nipo kwenye ndoa ya wanawake 4 ya mtandaoni. Full raha😂😂Unaona Raha kututania eeh😂
Kuna nini tena mrembo
Kwa nini? Ungejua mie nilivyokuwa romantic na muaminifu mwenyewe ungeshakubali ombi langu🤣 Hata usioe rafiki yangu. Mtoto wa watu ataenda kuteseka tu.
Usijali mie sio wakuoa leo wala kesho. So usijaliSasa ukioa mie ntaishije jaman embu tulia kidogo ufikishe hata 45
😂😂DahSana yaani hapa nipo kwenye ndoa ya wanawake 4 ya mtandaoni. Full raha
Kwaninwa humu sii ndio hao hao wanaopita mtaani sema hapa inaturahisishia kukutana.Unawatania TU,kwani unamtoa humu? Kama utamtoa humu wafwaa
Sawa babaang 😂😂
Wee usiniambie😂😂😂Kwa nini? Ungejua mie nilivyokuwa romantic na muaminifu mwenyewe ungeshakubali ombi langu
Wee njoo wikend ukae na mie uone utakavyo jisikia rahaWee usiniambie😂😂😂