Akili 09 Nguvu 01
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 695
- 1,377
We hutak?Vuta subira mkuu watakuja tu
Me tayari ni mchepuko sehemu nyingineWe hutak?
Hebu nitumie kamuamala kwenye tigopesa yangu hapo chap nione km una nia kweliMbona naona matangazo mengi ya Wanawake wanaohitaji Wapenzi lakini Tangazo langu halijapata Majibu?
Jamani bado naendelea kutafuta; Kwa msichana anayehitaji kuwa Mpenzi Mchepuko unakaribishwa sana nitakuhudumia kwa kila hitaji
Ebu lete namba yako ya tigopesa nifanye muamala chaap chaapHebu nitumie kamuamala kwenye tigopesa yangu hapo chap nione km una nia kweli
Muulize kama anayo chura kwanza.Ebu lete namba yako ya tigopesa nifanye muamala chaap chaap
Kiukweli, hili ni kosa namba moja ambalo wadada wengi sana wanalifanya pasipo kujua madhara yake.Hebu nitumie kamuamala kwenye tigopesa yangu hapo chap nione km una nia kweli
Mkuu, mimi binafsi maomba nikupongeze sana kwa ujasiri na uwazi wako.Mimi ni mwanaume wa Miaka mid 30's, nimeoa na naishi na mke wangu, kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.
Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kua Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu, awe na miaka kuanzia 20 -40. Awe na uwezo wa kujitegemea. Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza. Karibuni dm
Wengi wa wadada hapa huwa hawausemi ukweli mchungu kama huu.Me tayari ni mchepuko sehemu nyingine
wadada karibia wote ni 'malaya' by nature, basi tu ni vile baadhi wapo kule kimboka, wengine Tinder, wengine kwa wahaya, wengine dizaini za hao hapo juuKiukweli, hili ni kosa namba moja ambalo wadada wengi sana wanalifanya pasipo kujua madhara yake.
Asante sanaWengi wa wadada hapa huwa hawausemi ukweli mchungu kama huu.
But, hongera kwa kuwa muwazi na kujiweka huru.
Looh kwahyo tusio na chura hatustahili kutumiwa miamalaMuulize kama anayo chura kwanza.
Mwendo wa bata ndio hitaji.Looh kwahyo tusio na chura hatustahili kutumiwa miamala
Ahsante mkuu. Vipi na wewe unahitaji ili kama watakuja wengine nikuweke?Mkuu, mimi binafsi maomba nikupongeze sana kwa ujasiri na uwazi wako.
Ukweli ni kwamba, wanaume wengi tumekua na hitaji hili ingawa huwa tunajifanya wema sana hapa jf, ilhali tupo kwenye uhitaji wa spare tyre..
Ndio. Nahitaji mwanamke awe Mchepuko wang wa kudumu au awe Mke wa Pili lakin bila ndoa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mchepuko tena