Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

Akili 09 Nguvu 01

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
695
Reaction score
1,377
Mimi ni mwanaume wa umri wa ‘mid 30's’, nimeoa na naishi na mke wangu. Kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.

Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kuwa Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu.

*Awe na miaka kuanzia 20 -40.
*Awe na uwezo wa kujitegemea. (sio kigezo kikuu)
*Awe mzuri wa sura na Umbo (mrembo)(kigezo kikuu)
*Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza.

NB: Nitamuhudumia kwa kila kitu kwenye mahitaji ya Msingi(basic needs)

Karibuni PM ipo wazi
 
Mbona naona matangazo mengi ya Wanawake wanaohitaji Wapenzi lakini Tangazo langu halijapata Majibu?
Jamani bado naendelea kutafuta; Kwa msichana anayehitaji kuwa Mpenzi Mchepuko unakaribishwa sana nitakuhudumia kwa kila hitaji
Hebu nitumie kamuamala kwenye tigopesa yangu hapo chap nione km una nia kweli
 
Mimi ni mwanaume wa Miaka mid 30's, nimeoa na naishi na mke wangu, kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.
Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kua Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu, awe na miaka kuanzia 20 -40. Awe na uwezo wa kujitegemea. Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza. Karibuni dm
Mkuu, mimi binafsi maomba nikupongeze sana kwa ujasiri na uwazi wako.
Ukweli ni kwamba, wanaume wengi tumekua na hitaji hili ingawa huwa tunajifanya wema sana hapa jf, ilhali tupo kwenye uhitaji wa spare tyre..
 
Wenzako michepuko imetuelemea mpaka tunaikimbia job,kuna mchepuko mtaani kuna mchepuko nyumba ya tatu jirani yangu, tigo pesanae mchepuko,dada wa sheri muweka mafutanae mchepuko,bank taller nae mchepuko we michepuko tunaikimbia mana inatutia umasikini nimeona bora nitulie tuu na mke wangu kipenzi mama 7 wangu kipenzi bro michepuko sio dili wewe mkeo ishi nae kikoloni mtakaa sawa tuu ila mchepuko sikushauri tulia na mkeo mm uwo ushenzi nimeufanya ila umenitia hasara tuu...mans mkipanga ku date c chini ya 50k au 100k mm ilifika mda nilipangaga chumba mbali ns nyumbani kwangu wife akujua iko chumba kilikuwa special kwa michepuko tuu mana niliona garama imekubwa juu niliweka kila kitu ndani iko chumba kitanda kizuri makoch tv ukutani sabufa nn gesi yani kila kitu niliweka ila badae nilikuja ona ni upuuzi kile chumba nimempa mtoto wa dada angu yuko chuo anasoma alikosa hostel anaishi yeye pale michepuko aina ishu mkuu tulia na mkeo muyajenge maisha wanawake ni wale wale tuu...ila akili kumkichwa kama utaki tafuta mchepuko utakuja simulia hapa...
 
Back
Top Bottom