Pamoja mkuu, ukibakiza rusha na huku baada ya kumtumia UshimenMkuu mbona Bango langu limeeleza kila kitu hadi Miaka yangu. Nahitaji mwanamke awe na Miaka kati ya 20- 40. Mwanamke wa miaka 40 ni Size yangu kabisa hata usishituke
Noted mkuu, nitawakumbuka katika Ufalme wàngu. Hakika wew Allency na Ushimen nitawagiwiaPamoja mkuu, ukibakiza rusha na huku baada ya kumtumia Ushimen
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
.Sasa wewe c unataka mwanamke bandika hapa 2Mwambie azame/aje pm ntambandikia Namba yangu, nikibandika namba yangu hapa nitapata Usumbufu sana
Never ever mkuu wang, keep ur mwanamke i will keep my number. Its better nikose Mchepuko kuliko kubandika namba yangu hapa.Sasa wewe c unataka mwanamke bandika hapa 2
Shukrani mkuuNoted mkuu, nitawakumbuka katika Ufalme wàngu. Hakika wew Allency na Ushimen nitawagiwia
Hongera mkuu kwa kuweza kuachana na michepuko, mi nimeshindwa kuachana nayo kabisa yaani nimejitadi nimebaki na mmoja japo wwngine wanaendelea kusumbua ila michepuko yangu haijui kubana aisee imeniachia watoto kama wote yaani nimajanga.Wenzako michepuko imetuelemea mpaka tunaikimbia job,kuna mchepuko mtaani kuna mchepuko nyumba ya tatu jirani yangu, tigo pesanae mchepuko,dada wa sheri muweka mafutanae mchepuko,bank taller nae mchepuko we michepuko tunaikimbia mana inatutia umasikini nimeona bora nitulie tuu na mke wangu kipenzi mama 7 wangu kipenzi bro michepuko sio dili wewe mkeo ishi nae kikoloni mtakaa sawa tuu ila mchepuko sikushauri tulia na mkeo mm uwo ushenzi nimeufanya ila umenitia hasara tuu...mans mkipanga ku date c chini ya 50k au 100k mm ilifika mda nilipangaga chumba mbali ns nyumbani kwangu wife akujua iko chumba kilikuwa special kwa michepuko tuu mana niliona garama imekubwa juu niliweka kila kitu ndani iko chumba kitanda kizuri makoch tv ukutani sabufa nn gesi yani kila kitu niliweka ila badae nilikuja ona ni upuuzi kile chumba nimempa mtoto wa dada angu yuko chuo anasoma alikosa hostel anaishi yeye pale michepuko aina ishu mkuu tulia na mkeo muyajenge maisha wanawake ni wale wale tuu...ila akili kumkichwa kama utaki tafuta mchepuko utakuja simulia hapa...
Nilipooa nilikua natongoza kimasihara tu nawaambia nna familia na mchepuko juu lkn haikua kigezo cha kukataliwa, wanawake akili zenu mnazijua wenyewe....Mnomno kila mtu anaishi anajua anachokifanya......... Sio mbuzi ingine inakwambia "sina mke ntakuoa" siku zinaenda chenga haziishi
Usihofu, nitakuhudumia katika mahitaji yako yale ya msingi(basic needs e.g food, shelter and clothes). Karibu PM kwa maelezo zaidihela unazo za kutosha au ndo zakubadilisha dagaa na maharage
Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusianoMimi ni mwanaume wa umri wa ‘mid 30's’, nimeoa na naishi na mke wangu. Kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.
Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kuwa Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu.
*Awe na miaka kuanzia 20 -40.
*Awe na uwezo wa kujitegemea. (sio kigezo kikuu)
*Awe mzuri wa sura na Umbo (mrembo)(kigezo kikuu)
*Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza.
NB: Nitamuhudumia kwa kila kitu kwenye mahitaji ya Msingi(basic needs)
Karibuni PM ipo wazi
Aaaaah! Usihofu nilireserve nafasi kwa ajili yako. Wahi sasa pm kabla fursa haijakupitaHii fursa ndo naiona leo,,asee!
Usihofu kuhusu mikoa kua mbalimbali, sisi binadamu sio milima kusema tutashindwa kusafiri/kuhama. Yaani ikitokea nimekuelewa wew na vitu vyako nimevielewa hakika nitakuhamisha mkoa uliopoEeeh mikoa ishanikosesha danga mie
Rais mpya ameshatangazwa na ameshaapishwa adi Gwaji boy kaingia mjengoni lakini mimi bado sijaleta Mrejesho hapa. Sio Kosa langu ni kosa la wadada wa jf, mnaishia kuview tu hata pm hamjiHakika nyie wanawake wa JF mmekua Wakatili sana, naona wengi tu mnaishia kusoma tu huu Uzi, wachache wanacoment ila hamna anayekuja PM. WHY
Ndugu zangu Ushimen na Allency wananisubiri ili niwape Pasi, sasa hamji Pm nyie wadada mi nitatoa mrejesho gani?
Fanyeni mje Pm ili atapotangazwa Rais kipenzi cha Watanzania ndo siku hiyo nitakuja kuleta mrejesho. Njooni Pm ili nilete mrejesho wa maana
Yes. Mchepuko awe anajitegemea I mean awe na maisha yake tu then mim ntakuja kumboost kimaisha na kumpa gegedo la maana. I can say nmepata, so may be wewe ndo unashida kidgoMchepuko awe anajitegemea? Unaumwa wewe.hapo kwako anafaidi nini ambacho wanaume wengine hawana? Yaan wewe kazi yako kumpelekea ka gegedo kako tu?. Huyu akipata ntajuwa wanawake kuna shida si kidogo.
Ishiiiiii bureYes. Mchepuko awe anajitegemea I mean awe na maisha yake tu then mim ntakuja kumboost kimaisha na kumpa gegedo la maana. I can say nmepata, so may be wewe ndo unashida kidgo
Njoo pm tuyajenge nione nakusaidiaje
Atajuja kukujibu kwamba "shindwa..."😂Yes. Mchepuko awe anajitegemea I mean awe na maisha yake tu then mim ntakuja kumboost kimaisha na kumpa gegedo la maana. I can say nmepata, so may be wewe ndo unashida kidgo
Njoo pm tuyajenge nione nakusaidiaje