Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Umelisema katika namna bora zaidi mkuu, mtoa mada analengo mahususi kuwanasa mafeninist wa jf na kwa jinsi hawana utashi naamini pasina shaka PM ya jamaa inafurika kwa wakati huu, wasijue wanaelekea machinjioni.

Men are very smart. Mtoa mada hapa katumia ile kanuni ya JKKU - (Jifanye Kuwasifiaa na Kuwatejea Uwale)
 
Ngoja nikuambie mkuu unajua hii elimu ya kusoma na kujua kingereza ndo tatizo yaani mtu anajiona kasoma baada ya kujua kingereza na kufuata mila za kizungu

Kumbe mjinga mtupu mtu anashindwa kujua nafasi yake kama mwanaume ni tatizo ipo siku atakuja kumbebea mkewe mimba mambo ya haki sawa
 
Nmesikitika Sana,
Eti mshana nae Ni miongon mwao
Yani na uchawi woooote kumbe jamaa ni simp aiseee. Au kwasababu kwenye mauchawi anakutana sana na wanawake wameugeuza moyo wake kama Sulemani alivyogeuzwa moyo na wanawake wa mataifa.

Eti Mshana Jr what went wrong bru ukaamua kua feminist wa kiume ?!, am curious sikutegemea jabali kama wewe kua simp.
 
Mkuu umepiga umepiga mkwaju huku goalkeeper kavaa miwani nyeusi tiii. Sitegemei jamaa kujibu.
 
Madam, wewe ni mwanake mwenye busara sana amebahatika mwanaume alie kuoa na mmebaki wachache juu ya uso wa dunia.

Japo hapo kwenye sex usichukulie kama adhabu mama angu, wanaume tunapenda sex binafsi mda wote niko na mood. Wanaume sex kwetu ni basic need kama wewe unavyohitaji maji ya kunywa.
 
[emoji23][emoji3][emoji3]
 

"Mwanaume kuitegemea Ela ya mwanamke Ni ukahaba mamboleo"

Mkuu naomba nitumie maneno yako haya kama kichwa cha habari cha thread nyingine
 
Hata Kajala wa Harmonize nae ana ndoto yake anataka kuifanikisha na atakayelia mwishowe ni Kajala Maana Harmonize Hana shida hata pesa ikiisha
Mwenye uhitaji mkubwa hapo ni harmonize si kajala naona umeongea vice versa harmonize alimuhitaji Sana umaarufu wa kajala kwasababu ya vitu viwili ili apate kiki atrend mjini na mapenzi wakati kajala kaangalia ATM pale ndio kirichomfanya akubali kumrudia harmonize bila kujali harmonize alimbandua au alitaka kumgonga mwanaye Paula so hapo wakiachana atayeathirika ni harmonize si kajala kwasababu harmonize atakuwa kashachunwa vyakutosha lakini pia hatapata kiki au trending kama kipindi yupo na kajala
 
Mie hata Sijaelewaa!! Km ndio hivi nirudi Kuwa Single Tu..
 
Mama yako aliolewa?
Hapa ndipo mnapokosea. Yeye na wewe, mama'ake wa nini sasa?

Dunia inawafundisha wakike kuwa wakiume na wakiume kuwa wakike.

"Nenda kajitambulishe kwetu", "umenitolea mahari?", "umeolewa?", "sio jukumu langu, mwanaume ni nani?", "pesa ya mwanamke.....", n.k

Endeleeni na hivyo vikao
 
Wewe ndio mwanamke halisi sasa umeupiga mwingi sana eti Mwanamke kumuwekea Mume wake ni utumwa mtoa mada ni ovyo Sana dada ukiendelea na principle yako hii utapata Mume wakukuoa achana na hawa wanaharakati uchwara wanafanya wanawake wengi wasiwe na heshima na waume zao
 
Mbora wenu ni yule aliye mwema kwa familia yake, Kila mmoja ana haki juu ya mwenzake! Majukumu mengineyo yasipelekee kukapatikana kudharauliana. Na la muhimu ni kuvumiliana kwani kila mtu na mapungufu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…