Maelezo ya ovyo sana haya....nimejikuta nakasirika tu kusoma uzi huu wa kipuuziHuu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi
Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.
mfano:
1. Mwanamke msomi mwenye kazi hatakuheshimu. Hapa itategemea unaishi naye kwa namna gani. Wanawake wa sasa sio wa Miaka ya 90 awe ana kazi asiwe na kazi hawataki kuburuzwa. hapa ni mwanaume kujua kuwa mtemi imeshapitwa na wakati ....ongoza Familia kidemokrasia. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
2. Ukirudi kutoka kazini haupokelewi vizuri. What for? hili nalo na kulilia! ingia ndani salimiana ndani kwa ndani sio lazima mwanamke akukimbilie kama mbwa. Amechoka kumbuka naye Ametoka kazini.
3. Hatapata muda wa kuwatunza watoto na kuijali Familia. Wanaume tuwe wakweli kwenye hili. Ni nani anataka mwanae wa kike akawe mama wa nyumbani? be honest... Nataka mwanangu wa kike awe mtu kwenye watu..sio Mwanamke wa kukimbilia mijanaume iktoka kazini.
Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao.
4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana.
Kwa ufupi nasema Dunia imebadilika na tuwe wakweli kulikubali hili na litatusaidia namna ya kuishi na mwanamke wa sasa.[/b
Waambie hao eti mwanaume anataka apelekewe maji bafuni ya kuoga yeye kujiepelekea hawezi ππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa anatafuta tu attention awale mabinti wa humu hana maajabuMaelezo ya ovyo sana haya....nimejikuta nakasirika tu kusoma uzi huu wa kipuuzi
Tafuta mwanamke wa kawaida OAHuu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi
Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.
mfano:
1. Mwanamke msomi mwenye kazi hatakuheshimu. Hapa itategemea unaishi naye kwa namna gani. Wanawake wa sasa sio wa Miaka ya 90 awe ana kazi asiwe na kazi hawataki kuburuzwa. hapa ni mwanaume kujua kuwa mtemi imeshapitwa na wakati ....ongoza Familia kidemokrasia. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
2. Ukirudi kutoka kazini haupokelewi vizuri. What for? hili nalo na kulilia! ingia ndani salimiana ndani kwa ndani sio lazima mwanamke akukimbilie kama mbwa. Amechoka kumbuka naye Ametoka kazini.
3. Hatapata muda wa kuwatunza watoto na kuijali Familia. Wanaume tuwe wakweli kwenye hili. Ni nani anataka mwanae wa kike akawe mama wa nyumbani? be honest... Nataka mwanangu wa kike awe mtu kwenye watu..sio Mwanamke wa kukimbilia mijanaume iktoka kazini.
Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao.
4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana.
Kwa ufupi nasema Dunia imebadilika na tuwe wakweli kulikubali hili na litatusaidia namna ya kuishi na mwanamke wa sasa.[/b]
Oa mwanamke wa kawaida ambae hataa maji yakikatika nyumbani anaweka ndoo kichwani anaenda chotaDemokrasia.!??
Kuishi na Mke asiyekuheshimu mkuu unaona ni sawa..!??????...
Hakika WANAUME tunahitaji maombi..
The unpaid Seller toa neno Bro.
Kiufupi mleta uzi kakubali waziwazi kuwa yeye ni meanaume wa daraja la pili ( under dog ) na sio giant type of really man .Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi
Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.
mfano:
1. Mwanamke msomi mwenye kazi hatakuheshimu. Hapa itategemea unaishi naye kwa namna gani. Wanawake wa sasa sio wa Miaka ya 90 awe ana kazi asiwe na kazi hawataki kuburuzwa. hapa ni mwanaume kujua kuwa mtemi imeshapitwa na wakati ....ongoza Familia kidemokrasia. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
2. Ukirudi kutoka kazini haupokelewi vizuri. What for? hili nalo na kulilia! ingia ndani salimiana ndani kwa ndani sio lazima mwanamke akukimbilie kama mbwa. Amechoka kumbuka naye Ametoka kazini.
3. Hatapata muda wa kuwatunza watoto na kuijali Familia. Wanaume tuwe wakweli kwenye hili. Ni nani anataka mwanae wa kike akawe mama wa nyumbani? be honest... Nataka mwanangu wa kike awe mtu kwenye watu..sio Mwanamke wa kukimbilia mijanaume iktoka kazini.
Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao.
4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana.
Kwa ufupi nasema Dunia imebadilika na tuwe wakweli kulikubali hili na litatusaidia namna ya kuishi na mwanamke wa sasa.[/b]
Kama sina huo uwezo?Kwanini upelekewe maji bafuni? Siuweke maji bafuni..hata sio milioni 1.
Sio kupelekesha, kwahiyo Mwanamke asinifulie, asinitengee maji ya kuoga...kwani akifanya hivyo ni Utumwa au jukumu lake na ni sehemu ya kuonesha Mapenzi na kujaliNdio hapo sasa wanapenda kweli kupelekesha wanawake
Si amepata Msaidizi? Hayupo tena peke yake.Wanaume wengi wakioa wanakua walemavu ghafla. Mtu hawezi hata kujisogezea glass anataka afanyiwe kila kitu wanadhani wake zao ni maroboti hawachoki.
Inawezekana wewe ndio unahisi kuolewa ni Utumwa, yeye hajalalamika na anaona poa tu. Huwezi jua Mume wake ana majukumu mazito kiasi gani.Kuna familia moja naiona yani ety mkewe akiondoka atakusanya nguoo chafu mpka mkewe arud......akitoka kazni kila kitu anfnyiwa na mkewe had maji ya kunywa anatengewaa...mpaka nahis kuolewa utumwa
Kwanza kuna mambo ni ya kipuuzi, mikono anayo, bafu analijua sasa apelekewe ili iweje.Waambie hao eti mwanaume anataka apelekewe maji bafuni ya kuoga yeye kujiepelekea hawezi ππ
Wewe unaweza kumpelekea mkeo maji bafuni kama njia ya kumuonyesha ' mahaba' ?Kama sina huo uwezo?
Kupelekewa maji bafuni sio utumwa kwa mwanamke na sio kumnyanyasa ni MAHABA.
Hamna demokrasia mpumbavu ndo anaamini demokrasia ni vip kwamba haki sawa na hao wake zenu sikieni ni mizigo kazini acheni ujinga hiyo ni asili ya maumbile
Assume kitengo fulani kinatoa huduma muda wote pameajirwa wanawake Kama maofficers wote wamejifungua kufidia akachukuliwa dogo wa intership na WA field wake sasa WA field kasepa
Huwezi kuleta uzungu mwingi mbele ya uhalisia mwanamke ndo maumbile yake ndoto aendelee kulala Kuna nafasi huwezi kumuweka
Umeongea ujinga mtupu hao Marekani walifanya kila njia raisi asiwe wa kike unajua kwa nn
Nasema ukweli π π π πMakasiriko makali sana, tulieni na sisi tufanye kazi shida iko wapi.
Mnataka kutuburuza kama vile ni watumwa wenu!?? yaani kuna mijanaume inataka hata ile pumzi anayotoa basi ipumuliwe na mke wake ila ndo vile tena haiwezekani.
Usipo mujeshimu mumeo nakuambia UTANYOOKA WEWEMakasiriko makali sana, tulieni na sisi tufanye kazi shida iko wapi.
Mnataka kutuburuza kama vile ni watumwa wenu!?? yaani kuna mijanaume inataka hata ile pumzi anayotoa basi ipumuliwe na mke wake ila ndo vile tena haiwezekani.
Inategemea na circumstanceWewe unaweza kumpelekea mkeo maji bafuni kama njia ya kumuonyesha ' mahaba' ?
Kwako ni ya kipuuzi, kwa wenzio ni jukumu la kawaida.Kwanza kuna mambo ni ya kipuuzi, mikono anayo, bafu analijua sasa apelekewe ili iweje.
Ukoloni wa kijinga tu.